Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
Mimi ninavyowajua wa TZ asilimia 80 ni washirikina
kiasi uhalali wa mmoja kumnyooshea kidole mwingine haupo kabisa
zaidi ya wivu na chuki na fitina
is it that bad? I mean, huwa sielewi mtu anaamini vipi uganga against all odds. Mmmppphhheeewww, 80%!!!!
Actually ililetwa report humu ni asilimia 94
muulize EMT
Hata huko mnakula kwa mama ntilie ndio washirikina wakubwa...mnakula uchafu sana.
Unaweza kuta mdada mrembo sana lkn kagua pochi yake..utakumbana na mahiriz ya ajabu..Kwa tz uchawi upo sana.
Hata huko mnakula kwa mama ntilie ndio washirikina wakubwa...mnakula uchafu sana.
Unaweza kuta mdada mrembo sana lkn kagua pochi yake..utakumbana na mahiriz ya ajabu..Kwa tz uchawi upo sana.