Kumbe Hayati Magufuli ilibaki kidogo kumshtaki Karamagi mahakamani?

Kumbe Hayati Magufuli ilibaki kidogo kumshtaki Karamagi mahakamani?

JPM alikuwa msanii sana. Mikataba mibovu ilianza wakati wa JK akiwa waziri wa nishati na madini na yeye alikuwa analijua hilo. Sasa miaka yote hiyo 5 kwa nini hakumuajibisha?

Issue ya gesi Mtwara ilipitishwa na Bunge kwa hati ya dharura huku Chadema wakitolewa nje ya kikao hicho. JPM hilo alilifahamu na kwa miaka 5 hakuchukua hatua yoyote wala hakutaka kabisa kubadilisha mikataba yote mibovu iliyosainiwa na watangulizi wake akawa anapambana na watu aliohisi ni matajiri na wasio na mtetezi .

Ukiona kiongozi anahusudu sana kupendwa (populist) lazima mtaishia kubaya.
Udhaifu wa hayati JPM ulikuwa ni huu wa kupenda sana kupigiwa makofi na jukwaa, alikuwa tayari kuja na agizo la ajabu lenye kuumiza watu kwa sababu tu ya kushangiliwa na watu waliohisi kwamba wamesahauliwa na mfumo.
 
Back
Top Bottom