Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Sisi tumetoa matokeo tu yaliyopita ya hiyo timu , kama haikutakiwa kukumbusha basi tusameheweUnaizungumzia De Agosto iliyofanyiwa figisu kwa wachezaji wake tegemezi zaidi ya 8 wa kikosi cha kwanza kuambiwa kuwa wana Corona.
Unaizungumzia De Agosto ambayo licha ya wachezaji wake 8 kuambiwa kuwa wana Corona bado walishurutishwa kucheza mechi ya nyumbani na ugenini katika uwanja wa Azam complex.
Hao Namungo wako walivyoingia Group stage hawakupata ushindi wala goli hata moja .
Primero De Agosto wamewahi kufika hatua ya Nusu fainali ya mshindano ya klabu bingwa Afrika mwaka 2018