Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #41
Sisi tumetoa matokeo tu yaliyopita ya hiyo timu , kama haikutakiwa kukumbusha basi tusameheweUnaizungumzia De Agosto iliyofanyiwa figisu kwa wachezaji wake tegemezi zaidi ya 8 wa kikosi cha kwanza kuambiwa kuwa wana Corona.
Unaizungumzia De Agosto ambayo licha ya wachezaji wake 8 kuambiwa kuwa wana Corona bado walishurutishwa kucheza mechi ya nyumbani na ugenini katika uwanja wa Azam complex.
Hao Namungo wako walivyoingia Group stage hawakupata ushindi wala goli hata moja .
Primero De Agosto wamewahi kufika hatua ya Nusu fainali ya mshindano ya klabu bingwa Afrika mwaka 2018
Nyie ndugu zetu mnapenda sana historia haaa haaa.Sisi tumetoa matokeo tu yaliyopita ya hiyo timu , kama haikutakiwa kukumbusha basi tusamehewe
Ikiwa ni mdebwedo wakija ombeni mpige shoo ya urafiki muone kama mwiko utabaki huko nyuma.Ushahidi huu hapa.
View attachment 2382093
Sina lengo la kupuuza ushindi wa Simba ila nimeweka tu angalizo, tusije tukafikiri kuingia makundi ndiyo tumemaliza, kumbe njia tuliyopita ni mdebwedo tu.
Hii comment umeandika ukiwa umejawa makasiriko.Hatuna msaada wa kukusaidia upate ahueni.Tar 16 tunamaliza kazi tunaingia makundi na nyinyi tar 17 mnakwenda kufungashiwa virago mwende CC mkakutane na Agosto wawapasue tena.Mabingwa wa ligi ipi nyie mashabiki wa simba mbona hamnazo sana aisee, unamjua bingwa wa Angola wewe au ndo madish yenu yameyumba, bingwa wa angola ni Petro de luanda kachukua ubingwa akiwa na point 75 akifuatiwa na mshindi wa 2 de agosto aliyekuwa na point 61 sasa huo ubingwa walioubeba de agosto wewe ndio uliwapa? Mbona mnajitoa sana ufahamu kuongea vitu msivyovijua
Wacha double standardsMwisho wa siku ukweli unabaki pale pale. Siyo sababu yenye mashiko.