Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
- Thread starter
- #21
π π π π πDuuh!! Ndo na mimi nimejua leo. Kwanza nikikaonaga ako kadude najikuta kananichukiza.
Kumbe ni game. Lol.
Kana nmwonekano wa kukera.
Mimi ilikuwa najiulizaga ni ka ndege, ka kangaroo ama ka dinasaor maana hata hakaeleweki...ila jana kakanifaa sana.