Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
😂😂Nimecheza sana nikiw kazini yule mbwa wa kinaijeria akinizingua. Yaani akinikera sifanyi chochote naanza kucheza hako kamchezo, unacheza unakua addicted hadi unamsikia "Bwana Jela" nae alianza kucheza cheza