Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
- Thread starter
-
- #21
π π π π πDuuh!! Ndo na mimi nimejua leo. Kwanza nikikaonaga ako kadude najikuta kananichukiza.
Kumbe ni game. Lol.
Halafu kicheza sana hadi giza linaingia..πππππStephen Chelu leo nmecheza sana airtel ilikuwa inazingua mchana
hii kitu nimeijua miaka mingi afu utamu wake ufikishe hundreds kanalia mlio mtamu kama KITUFE CHA LIKE facebook
Hadi coroma iishe tutagundua mengi sana aseeTutagundua mengi tu kipindi hiki cha quarantine, muda bado.
The best Medicine of Corona is to Stay Home.
Hili game linafanya usahau kwa muda ishu ya mtandaoWajina,na mimi huwa nalicheza sana hili gemu hasa nikiwa mahali mtandao unapokuwa down
Tanzania ya viwanda italetwa na wadadisi kama hawa.Dah kwa hali hii kweli tutaufikia uchumi wa kati?
Umeonaee. Yaani nikishaonaga hiyo No Internet basi sihangaiki nako natafuta kitu ingine ya kufanya.π π π π π
Kana nmwonekano wa kukera.
Mimi ilikuwa najiulizaga ni ka ndege, ka kangaroo ama ka dinasaor maana hata hakaeleweki...ila jana kakanifaa sana.
ππ Duuh!!Halafu kicheza sana hadi giza linaingia..πππππ
Hadi hiki kipindi cha kukaa majumbani kiishe tutagungua mengi mno....ππππ Duuh!!
Sasa wadadisi wamechelewa sana kujua.Tanzania ya viwanda italetwa na wadadisi kama hawa.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ni kitu ambacho huwezi kudhania kabisa...
Hili game linafanya usahau kwa muda ishu ya mtandao
kivipi mkuuNyie
Nyie ndio matapeli w jf
siku moja bahati mbaya tu nili click arrows ndio nkamuona trex anakimbia extinsion.π π π
Ni kitu ambacho huwezi kudhania kabisa...
Nimecheza sana nikiwa kazini yule mbwa wa Kinaijeria akinizingua. Yaani akinikera sifanyi chochote naanza kucheza hako kamchezo, unacheza unakua addicted hadi unamsikia "Bwana Jela" nae alianza kucheza chezaKwa kwatumiaji wa Google Chrome nadhani mtakuwa mnakafahamu vizuri haka kajamaa kanakotokea wakati kukiwa na shida ya mtandao wa Internet.
View attachment 1407018
Sasa leo bwana nikasema ngoja nikaguse haka kajamaa, weee si kakaruka na kuanza kukimbia. Nikajiuliza ni nini hiki mara naona vitu kama miti ya jangwani, nikakagusa tena kakauruka huo mti. Ndo nikajua kumbe hili ni game...linakufariji usikasirike wakati mtandao ukiwa chini
View attachment 1407023
Uzi from home