Kumbe hivi sasa Wanaotudai Waafrika hawakamati tena Ndege zetu, bali wanakamata Viongozi hadi Madeni yalipwe?

Kumbe hivi sasa Wanaotudai Waafrika hawakamati tena Ndege zetu, bali wanakamata Viongozi hadi Madeni yalipwe?

Status
Not open for further replies.
Na ili Kutuzuga zaidi Waafrika anatafutwa Mtu kisha anazusha Jambo fulani la taharuki hasa la Ugonjwa au Kifo ili Waafrika tuweke huko Akili zetu na tusijue kuwa kutokana na nchi za Afrika kudaiwa mno na Wazungu Wanaotudai sasa hata Viongozi wetu Waandamizi nao wakienda Ulaya Wanakamatwa mpaka Fedha zilipwe na zikilipwa tu ndiyo Wanaachiwa kurejea nchi zao na Kuungana na Wajukuu zao Wanaowapenda.

GENTAMYCINE namalizia kwa kusema ukiona Mbili imekamatwa hadi Deni Kubwa lilipwe. jua hata Moja nayo haiko mbali Kudakwa juu kwa juu na Waafrika tutaendelea Kuzugwa kuwa wana Kazi Maalum au wako katika Matibabu ya matatizo yao ya Vifua na Kukohoa kusikopona

Waafrika tulipeni Madeni ya Wazungu ili Ndege zetu na Viongozi wetu wasikamatwe Wakisafiri huko na tukaanza kupandikiziwa Propaganda kuwa Wanaumwa au Wamekufa ili tu kuruficha Waafrika na Aibu ya Viongozi wetu Wakubwa na Waandamizi kabisa Kukamatwa huko Ughaibuni.

Wenye Akili Kubwa, Wadadisi wa Masuala na Wafukuaji wa Taarifa zilizofichwa huwa Hawafichwi na Hawadanganyiki na wala Hawazugwi kizembe kizembe hali wakitaka kuujua Ukweli wataujua tu kama ambavyo sasa Umejulikana kwa Bara letu la Afrika.
Mmh na vile #1 anavyopenda minuso inawezekana nae akadakwa 🤔
 
Birds eye view. Genta kama genta
Na ili Kutuzuga zaidi Waafrika anatafutwa Mtu kisha anazusha Jambo fulani la taharuki hasa la Ugonjwa au Kifo ili Waafrika tuweke huko Akili zetu na tusijue kuwa kutokana na nchi za Afrika kudaiwa mno na Wazungu Wanaotudai sasa hata Viongozi wetu Waandamizi nao wakienda Ulaya Wanakamatwa mpaka Fedha zilipwe na zikilipwa tu ndiyo Wanaachiwa kurejea nchi zao na Kuungana na Wajukuu zao Wanaowapenda.

GENTAMYCINE namalizia kwa kusema ukiona Mbili imekamatwa hadi Deni Kubwa lilipwe. jua hata Moja nayo haiko mbali Kudakwa juu kwa juu na Waafrika tutaendelea Kuzugwa kuwa wana Kazi Maalum au wako katika Matibabu ya matatizo yao ya Vifua na Kukohoa kusikopona

Waafrika tulipeni Madeni ya Wazungu ili Ndege zetu na Viongozi wetu wasikamatwe Wakisafiri huko na tukaanza kupandikiziwa Propaganda kuwa Wanaumwa au Wamekufa ili tu kuruficha Waafrika na Aibu ya Viongozi wetu Wakubwa na Waandamizi kabisa Kukamatwa huko Ughaibuni.

Wenye Akili Kubwa, Wadadisi wa Masuala na Wafukuaji wa Taarifa zilizofichwa huwa Hawafichwi na Hawadanganyiki na wala Hawazugwi kizembe kizembe hali wakitaka kuujua Ukweli wataujua tu kama ambavyo sasa Umejulikana kwa Bara letu la Afrika.
 
Hahhahha Nimecheka snaa kwahyo namba mbili alikamatwa kwa sababu ya Madeni
 
You're dealing with a Certified Genius GENTAMYCINE so you better keep your Pig Mouth shut okay?

My blessed IQ, Exposure and Knowledge can't be compared with yours Uncircumcised Baboon okay?

I'm done.
Acha ufala bhana...
🤣🤣
 
Huoni sasa hivi anasafiri kwa Timing na akishtukia nae Kudakwa kama Mwenzake anamsakizia Muongo wa Taifa namba Tatu akiwakilisha?

Halafu GENTAMYCINE siyo Mjita bali Mimi ni Mzanaki, Myao na Mtutsi na Jina langu halisi ni Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo Kisungura ambayo yako NIDA, RITA na UHAMIAJI NCHI pia.
Eti muongo wa taifa..!! Nimecheka kwa sauti wallah..!!
 
Lakini kila mtu anahaki ya kuwaza chochote maana wenye mamlaka hawajasema alikuwa wapi na akifanya nini!??
 
Na ili Kutuzuga zaidi Waafrika anatafutwa Mtu kisha anazusha Jambo fulani la taharuki hasa la Ugonjwa au Kifo ili Waafrika tuweke huko Akili zetu na tusijue kuwa kutokana na nchi za Afrika kudaiwa mno na Wazungu Wanaotudai sasa hata Viongozi wetu Waandamizi nao wakienda Ulaya Wanakamatwa mpaka Fedha zilipwe na zikilipwa tu ndiyo Wanaachiwa kurejea nchi zao na Kuungana na Wajukuu zao Wanaowapenda.

GENTAMYCINE namalizia kwa kusema ukiona Mbili imekamatwa hadi Deni Kubwa lilipwe. jua hata Moja nayo haiko mbali Kudakwa juu kwa juu na Waafrika tutaendelea Kuzugwa kuwa wana Kazi Maalum au wako katika Matibabu ya matatizo yao ya Vifua na Kukohoa kusikopona

Waafrika tulipeni Madeni ya Wazungu ili Ndege zetu na Viongozi wetu wasikamatwe Wakisafiri huko na tukaanza kupandikiziwa Propaganda kuwa Wanaumwa au Wamekufa ili tu kuruficha Waafrika na Aibu ya Viongozi wetu Wakubwa na Waandamizi kabisa Kukamatwa huko Ughaibuni.

Wenye Akili Kubwa, Wadadisi wa Masuala na Wafukuaji wa Taarifa zilizofichwa huwa Hawafichwi na Hawadanganyiki na wala Hawazugwi kizembe kizembe hali wakitaka kuujua Ukweli wataujua tu kama ambavyo sasa Umejulikana kwa Bara letu la Afrika.
Naunga mkono mleta mada ana kitu
 
Na ili Kutuzuga zaidi Waafrika anatafutwa Mtu kisha anazusha Jambo fulani la taharuki hasa la Ugonjwa au Kifo ili Waafrika tuweke huko Akili zetu na tusijue kuwa kutokana na nchi za Afrika kudaiwa mno na Wazungu Wanaotudai sasa hata Viongozi wetu Waandamizi nao wakienda Ulaya Wanakamatwa mpaka Fedha zilipwe na zikilipwa tu ndiyo Wanaachiwa kurejea nchi zao na Kuungana na Wajukuu zao Wanaowapenda.

GENTAMYCINE namalizia kwa kusema ukiona Mbili imekamatwa hadi Deni Kubwa lilipwe. jua hata Moja nayo haiko mbali Kudakwa juu kwa juu na Waafrika tutaendelea Kuzugwa kuwa wana Kazi Maalum au wako katika Matibabu ya matatizo yao ya Vifua na Kukohoa kusikopona

Waafrika tulipeni Madeni ya Wazungu ili Ndege zetu na Viongozi wetu wasikamatwe Wakisafiri huko na tukaanza kupandikiziwa Propaganda kuwa Wanaumwa au Wamekufa ili tu kuruficha Waafrika na Aibu ya Viongozi wetu Wakubwa na Waandamizi kabisa Kukamatwa huko Ughaibuni.

Wenye Akili Kubwa, Wadadisi wa Masuala na Wafukuaji wa Taarifa zilizofichwa huwa Hawafichwi na Hawadanganyiki na wala Hawazugwi kizembe kizembe hali wakitaka kuujua Ukweli wataujua tu kama ambavyo sasa Umejulikana kwa Bara letu la Afrika.
Kumbe!🤣🤣🤣🤣🤣
 
Na ili Kutuzuga zaidi Waafrika anatafutwa Mtu kisha anazusha Jambo fulani la taharuki hasa la Ugonjwa au Kifo ili Waafrika tuweke huko Akili zetu na tusijue kuwa kutokana na nchi za Afrika kudaiwa mno na Wazungu Wanaotudai sasa hata Viongozi wetu Waandamizi nao wakienda Ulaya Wanakamatwa mpaka Fedha zilipwe na zikilipwa tu ndiyo Wanaachiwa kurejea nchi zao na Kuungana na Wajukuu zao Wanaowapenda.

GENTAMYCINE namalizia kwa kusema ukiona Mbili imekamatwa hadi Deni Kubwa lilipwe. jua hata Moja nayo haiko mbali Kudakwa juu kwa juu na Waafrika tutaendelea Kuzugwa kuwa wana Kazi Maalum au wako katika Matibabu ya matatizo yao ya Vifua na Kukohoa kusikopona

Waafrika tulipeni Madeni ya Wazungu ili Ndege zetu na Viongozi wetu wasikamatwe Wakisafiri huko na tukaanza kupandikiziwa Propaganda kuwa Wanaumwa au Wamekufa ili tu kuruficha Waafrika na Aibu ya Viongozi wetu Wakubwa na Waandamizi kabisa Kukamatwa huko Ughaibuni.

Wenye Akili Kubwa, Wadadisi wa Masuala na Wafukuaji wa Taarifa zilizofichwa huwa Hawafichwi na Hawadanganyiki na wala Hawazugwi kizembe kizembe hali wakitaka kuujua Ukweli wataujua tu kama ambavyo sasa Umejulikana kwa Bara letu la Afrika.
Mwaka huu mtasema mengi
Alafu vipi mbona ban Yako imeisha mapema? Moderator
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom