kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,887
- 5,687
Nilikaa sehemu hivi hapa Morogoro sehemu inaitwa Amadia nikisubiri passport size pictures nilizokua nimepiga moja ya studio maeneo haya.
Pembeni alikua amekaa Mzungu mzee wa makamo 70 years + kumkadiria.
Nikamsalimia na yakaanza maongezi ya hapa na pale.
Kuna mambo kadhaa aliongea yalinifikirisha sana;
1. Alisema watu Smart wenye uwezo wa kuongoza na kuzipaisha inchi kimaendeleo huwa hawapewi nafasi hivyo inchi za kiafrika na zingine za Dunia ya tatu zinaongozwa na watu wenye uwezo mdogo ambao Wana easy access kwenye leadership circle kwasababu ya rushwa , kupendeleana nk hivyo inchi husika kuendelea ku lag behind kwenye Kila nyanja ya maendeleo.
2. Kuhusu tatizo la umeme alisema , amezunguka tz nzima . Vyanzo vinavyoweza kumaliza tatizo la umeme ni a) sea waves b) wind turbines c) geothermal d) hydroelectric E) kataja makaa ya mawe, f. Solar na nyingine nimesahau, na akaorodhesha faida na Short fall ya Kila mojawapo
3. Baadaye akabadili story akanipa assignment 2.
A) nikasome astronomical potential of tuareg tribe
B) underground tunnels inchini marekani.
Ukiacha yote ile kusema watu wenye uwezo wa uongozi hawapewi nafasi kupelekea African counties kuongozwa na watu wenye uwezo mdogo ilinifikirisha sana
Pembeni alikua amekaa Mzungu mzee wa makamo 70 years + kumkadiria.
Nikamsalimia na yakaanza maongezi ya hapa na pale.
Kuna mambo kadhaa aliongea yalinifikirisha sana;
1. Alisema watu Smart wenye uwezo wa kuongoza na kuzipaisha inchi kimaendeleo huwa hawapewi nafasi hivyo inchi za kiafrika na zingine za Dunia ya tatu zinaongozwa na watu wenye uwezo mdogo ambao Wana easy access kwenye leadership circle kwasababu ya rushwa , kupendeleana nk hivyo inchi husika kuendelea ku lag behind kwenye Kila nyanja ya maendeleo.
2. Kuhusu tatizo la umeme alisema , amezunguka tz nzima . Vyanzo vinavyoweza kumaliza tatizo la umeme ni a) sea waves b) wind turbines c) geothermal d) hydroelectric E) kataja makaa ya mawe, f. Solar na nyingine nimesahau, na akaorodhesha faida na Short fall ya Kila mojawapo
3. Baadaye akabadili story akanipa assignment 2.
A) nikasome astronomical potential of tuareg tribe
B) underground tunnels inchini marekani.
Ukiacha yote ile kusema watu wenye uwezo wa uongozi hawapewi nafasi kupelekea African counties kuongozwa na watu wenye uwezo mdogo ilinifikirisha sana