Kumbe huyu kijana wa ChatGPT - Sam Altman ni shoga, naona jana ilikua harusi yake.

Kumbe huyu kijana wa ChatGPT - Sam Altman ni shoga, naona jana ilikua harusi yake.

AI ni programs za computer zilizo bora zaidi.
AI inanakilisha mawazo mengi yaluojazwa kwenye internet na kutolewa ktk chanzo kimoja. AI ni muendelezo wa kimapinduzi ulionza kufanywa na binadamu tangu zamani.
Nyuklia zilipigwa marufuku ili tu zidisambae nchi zote. Ni sawa tu na teknolojia. Teknolojia zinafichwa ili tu zisisambae nchi zote, kuondoa usawa na kuhodhi nguvu ya kuwatawala wengine.
AI ni open source hivyo kila binadamu anaweza kufaidi matunda ya AI.
Hao freemaso na iluminat ni vitu tu vya kufikirika hakuna anaejua yoyote.
Halafu dio binadamu wote wanaamini habari hizo hivyo huwezi wazuia wasitumue AI.
Wapo binadamu wasiopenda umeme na hawautumii na hawautaki, hivyo nyie msiopenda AI muache muwaige hao au muwaige WAHAZABE. Wahazabe ni mfano wa watu wanaochukia teknolojia na walahawatamani maisha yetu.
Kwa hio usitushawishi sisi wahazabe tuungane na imani yako.
 
Hamjui agenda nyuma ya upuuzi huyo ...Sasa kwa taarifa hao wengi wanaojitangaza haswa watu maarufa sio mashoga ni mbwembwe na kupewa pesa ila kweny uhalisia sio kweli.

Yule lil Nas sio shoga sema tu anapata pesa kupiga promo wapo kibao wanajulikana , wazungu kama wanafanya porno kwa miaka ili kulipwa ...Mtu haoni shida kujitangaza kwa kulipwa ila kwa ground sio kweli ni promo tu.
 
Hamjui agenda nyuma ya upuuzi huyo ...Sasa kwa taarifa hao wengi wanaojitangaza haswa watu maarufa sio mashoga ni mbwembwe na kupewa pesa ila kweny uhalisia sio kweli.

Yule lil Nas sio shoga sema tu anapata pesa kupiga promo wapo kibao wanajulikana , wazungu kama wanafanya porno kwa miaka ili kulipwa ...Mtu haoni shida kujitangaza kwa kulipwa ila kwa ground sio kweli ni promo tu.
Na lile tumbo kubwa la lil Nas kaweka nin tena

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Kumbe yule CEO machachari aliefukuzwa na board ya kampuni yake ya OpenAI na kurudishwa tena baada ya muda mfupi ni shoga.

Huyu kijana Sam Altman alipata umaarufu baada ya hio Coup de tat ilioshindikana ndani ya OpenAI.

Ni wazi sasa AI ni mpango wa watu wa New World Order na ndio maana watu wanaojielewa wanataka AI zisimamishwe au ziwe na kibali kama ilivyo nyuklia.

Soma zaidi hapa, jana ilikua harusi yake OpenAI CEO Sam Altman just got married
Una maanisha "mbarikiwa"?
 
Msiowapenda wapo kila sehemu.

Unatumia iPhone? CEO shoga.

Unatumia ChatGPT? CEO shoga.

What else?

Na hao ndio wanaojulikana tu.
 
Kumbe yule CEO machachari aliefukuzwa na board ya kampuni yake ya OpenAI na kurudishwa tena baada ya muda mfupi ni shoga.

Huyu kijana Sam Altman alipata umaarufu baada ya hio Coup de tat ilioshindikana ndani ya OpenAI.

Ni wazi sasa AI ni mpango wa watu wa New World Order na ndio maana watu wanaojielewa wanataka AI zisimamishwe au ziwe na kibali kama ilivyo nyuklia.

Soma zaidi hapa, jana ilikua harusi yake OpenAI CEO Sam Altman just got married
anaishi Dar sehemu gani?
 
Jf ni sehemu ya kujadili sio matangazo

Huyu jamaa alifukuzwa kazini kwake bila kuweka wazi sababu za kumfukuza na vile vile akarudishwa kazini bila maelezo yyt.

Hili swala la yeye kuwa shoga inawezekana limechangia jambo zima la kufukuzwa na kurudishwa.

kinachouma zaidi hawa ndo watakua role models wa watoto
Anasaidia vipi kushusha bei ya mafuta? jadili mambo yenye tija wacheni ujinga kutwa nzima ni maada za kipuuzi tupu, ni linu tutakuwa serious kama nchi?
 
As of my last knowledge update, Sam Altman has not publicly disclosed his sexual orientation. It's important to respect individuals' privacy in matters of personal identity unless they choose to share that information themselves. Instead, it's best to focus on his professional achievements and contributions to the tech industry and startup ecosystem.
 
Back
Top Bottom