Kumbe huyu Kiwi historia yake ni toka mwaka 1886 mpaka leo Brand yake haijashuka

Kumbe huyu Kiwi historia yake ni toka mwaka 1886 mpaka leo Brand yake haijashuka

Fafanua japo kidogo hapo kwenye "kukta" na "Caterpillar"
Siyo kukta, ni bukta. Bukta ni kaputura iliyokuwa inatengenezwa na kampuni ya bukta. Matokeo yake hata kaputura za kampuni nyingine nazo zikawa zinaitwa bukta

1727167336894.png


Kuhusu caterpillar,
Kuna heavy equipments mostly zinatumika kwenye kutengeneza barabara

1727168320624.png

Haya madude yakionekana barabarani, utawasikia watu wakisema, KATAPILA limepita, hata likiwa la brand nyingine.
 
Watu wanadhani kila bukta wanazovaa ni za kampuni ya Bukta(bukta ni jina la kampuni iko Uk inatengeneza nguo za michezo).

Caterpillar ni kampuni ambayo ilitoa na inatoa gari za ujenzi, saivi hata zile ambazo sio za kampuni hiyo bado watu wanaita caterpillar. (CAT)
Pamoja kiongozi
 
Siyo kukta, ni bukta. Bukta ni kaputura iliyokuwa inatengenezwa na kampuni ya bukta. Matokeo yake hata kaputura za kampuni nyingine nazo zikawa zinaitwa bukta

View attachment 3105226

Kuhusu caterpillar,
Kuna heavy equipments mostly zinatumika kwenye kutengeneza barabara

View attachment 3105243
Haya madude yakionekana barabarani, utawasikia watu wakisema, KATAPILA limepita, hata likiwa la brand nyingine.
Safi sana kiongozi
 
Kuna products huwa zinakamata soko, kiasi cha soko hilo kuitwa jina la product hiyo. Mfano;

1. Kiwi
2. Bukta
3. Bic
4. Shell
5. Caterpillar
6. Blue band

etc
Kumbe bukta ni brand name?
Nilipokuwa dogo kuna siku nililia nikagoma kula mpaka ninunuluwe bukta, linapwaya hivi na rangi ya kung'aa alafu linateleza. Sijawahi ona hiyo brand wala logo yake kwenye nguo.

Nilijua bukta ni kisawe cha kaptula kama lilivyo neno bombo.
 
Nadhani ni ndege asiye na mkia wala mabawa.View attachment 3105022
Kiwi hajui kukimbia kama mbuni, hajui kupaa vilevile. Ni mdhaifu sana hawezi jilinda akishambuliwa, mnyonge tu. Kuna baiolojia kubwa sana kuhusu yeye ni kama nature inamkataa. Yuko endangered hata sehemu anapopatikana marufuku kwenda na mbwa.

Hata hivyo New Zealand kiasili kwa namna ilivyokuwa kiwi ndio sehemu pekee ya wao kuishi, hata Australia.
 
Kiwi hajui kukimbia kama mbuni, hajui kupaa vilevile. Ni mdhaifu sana hawezi jilinda akishambuliwa, mnyonge tu. Kuna baiolojia kubwa sana kuhusu yeye ni kama nature inamkataa. Yuko endangered hata sehemu anapopatikana marufuku kwenda na mbwa.

Hata hivyo New Zealand kiasili kwa namna ilivyokuwa kiwi ndio sehemu pekee ya wao kuishi, hata Australia.
Ahsante sana kwa kuongeza nyama nyama
 
Back
Top Bottom