Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Hapaumeweka wapi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapaumeweka wapi ?
hebu acha masikhara banaHapa
Sikujui na sidhani kama kuna ulazima wa kukujua mkuuhebu acha masikhara bana
au hunijui nianze kujieleza
Sifa jipe mwenyewe...safiWatu wenye lips nene huwa tuna sauti tamu sana
Pamoja na sura ya baba ila sauti yaaapSifa jipe mwenyewe...safi
Ulikuwa na uhusiano nae gani hadi akukumbuke?..au ulikuwa una muuzia yale manguo ya kitomboy?Huyu She' saivi ndio kaiva ..kipindi anatangaza radio 5 aise alikuwa msela sana, mapigo za kichalii kabisa halafu kakondaaa ..ila saiv dah atakuwa amenisahau kabisa
Anasikika wapi huyo ZJ?Hujasikia sauti ya Zulfa John
Hukawii kusema mlikuwa mnamoka wote maghettoni we chalii. 😂Huyu She' saivi ndio kaiva ..kipindi anatangaza radio 5 aise alikuwa msela sana, mapigo za kichalii kabisa halafu kakondaaa ..ila saiv dah atakuwa amenisahau kabisa
Hongera..ukiwa na demu ana sauti nzuri unafurahi hata kuongea naye kwenye simu..sio demu lafudhi na sauti haieleweki.Pamoja na sura ya baba ila sauti yaaap
Kabisa unasema humjui mmiliki wa jamiiforumsSikujui na sidhani kama kuna ulazima wa kukujua mkuu
Sawa tenda unachoona kinafaaKabisa unasema humjui mmiliki wa jamiiforums
nitakupiga ban buree
Na zinanyonya vingimweeh! mtoto ana lips tam huyu!
I agreeWatu wenye lips nene huwa tuna sauti tamu sana
Hahahaha tena pale nimepiga kinyama sema saiv keshakuwa staa aise chali yangu hahahaHukawii kusema mlikuwa mnamoka wote maghettoni we chalii. 😂
Kuna machalii zangu ni mamcee wa kitaa wanaruka zile matantwista usikii ata neno moja walikuwa wanampelekea mangoma studio kipindi io tunaenda nao ndo nikajuana naye uko akawa ni msela sana alivyoendaga east Africa radio ndio ikawa basi tena ..kitambo sana miaka iyooUlikuwa na uhusiano nae gani hadi akukumbuke?..au ulikuwa una muuzia yale manguo ya kitomboy?
Alikua kimbaumbau hatari kipindi kile yupo earadio na hata alivyohamia clouds...hapo mbona kanenepa sasa iviHuyu mtangazaji ana sauti nzuri sana, nadhani wale wasikilizaji wa xxl ya clouds fm watakuwa wanajua. Sasa nikasema ngoja nimtafute insta nimuone alivyo, nikasema mbona haendani na sauti nzuri hivi hana makuu yupo simpo tuu.
View attachment 1953582
View attachment 1953583
View attachment 1953584
Hapana si mzuri kabisa.......She is very pretty. Look at her skin.
Itakuw umeona maisha yake hayaendani na wewe sasa unataka kutuletea maneno ya mkosaji.