Nawajegeja
Member
- Sep 25, 2021
- 30
- 42
Kuna uzi mmoja unahusisha lips za manzi na apple linavyakua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
She is hottttHuyu mtangazaji ana sauti nzuri sana, nadhani wale wasikilizaji wa xxl ya clouds fm watakuwa wanajua. Sasa nikasema ngoja nimtafute insta nimuone alivyo, nikasema mbona haendani na sauti nzuri hivi hana makuu yupo simpo tuu.
View attachment 1953582
View attachment 1953583
View attachment 1953584
Apple lililovimba ka tumbua vileKuna uzi mmoja unahusisha lips za manzi na apple linavyakua.
Wacha weeeWatu wenye lips nene huwa tuna sauti tamu sana
Waja mtu asiandike utaniWacha weee
AiseeMbona kama unajifanya kumkunjia sana mwana mamamamae? Who de fuq do you think you are?
Sikujua kama ni utani, nilianza kuvuta picha. Ndio ugonjwa wangu huo.Waja mtu asiandike utani
Acha kumtukana mwanamke hawa ni mama, dada na wake zetu mkuuMbona kama unajifanya kumkunjia sana mwana mamamamae? Who de fuq do you think you are?
Natania mkuuSikujua kama ni utani, nilianza kuvuta picha. Ndio ugonjwa wangu huo.
She is very pretty. Look at her skin.
Itakuw umeona maisha yake hayaendani na wewe sasa unataka kutuletea maneno ya mkosaji.
Usichukulie vitu serious mkuu sio kila ninachoandika na maanisha vingine ni utani ndio maana niliye muandikia hakuchukia relaxSawa mkuu. Apologies kwako, kwake na kwa jamvi zima [emoji1545]
Huu ndio ugonjwa wangu mkuu..sema tu demu hana wezere.
Mvuto ukiwa nao wewe inatosha mkuu,Huyu mtangazaji ana sauti nzuri sana, nadhani wale wasikilizaji wa xxl ya clouds fm watakuwa wanajua. Sasa nikasema ngoja nimtafute insta nimuone alivyo, nikasema mbona haendani na sauti nzuri hivi hana makuu yupo simpo tuu.
View attachment 1953582
View attachment 1953583
View attachment 1953584
Ah wapiWatu wenye lips nene huwa tuna sauti tamu sana
Nakuja dm tuyajenge...Watu wenye lips nene huwa tuna sauti tamu sana