Kumbe Jamal Malinzi ni Mdogo Wake Dionis Malinzi. Duuh


Wewe una akili gani kujaribu kuwatukana wajumbe wote? Unatumia vigezo gani kumuidhinisha malinzi huku ukimtukana Nyamlani? Mara unadai wagombea wote hawafai halafu unampitisha Malinzi. Mnafiki wewe.
 
Wewe una akili gani kujaribu kuwatukana wajumbe wote? Unatumia vigezo gani kumuidhinisha malinzi huku ukimtukana Nyamlani? Mara unadai wagombea wote hawafai halafu unampitisha Malinzi. Mnafiki wewe.

We ndio bogus kabisa.hujamuelewa nini mtoa post? Kasema wote hawafai,ila angalau Malinzi kwa sababu rais wa tff lazima atoke ndani ya haohao wabovu.
 
We ndio bogus kabisa.hujamuelewa nini mtoa post? Kasema wote hawafai,ila angalau Malinzi kwa sababu rais wa tff lazima atoke ndani ya haohao wabovu.

Hakuna cha angalau. Kama wote hawafai basi hawafai, period! Tumelogwa na nani sisi?
 
kuna Malinzi alikuwa anapambana na Mufuruki kuhusu uongozi wa golf pale Gymkhana. ndo yupi kati ya hawa?
 
Baada ya kuchoshwa na siasa za kijinga kimehamia kwenye Sports,lol kumbe nako kina Khadija Kopa wapo kibao! majanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…