Ndiyo sehemu ya kujiliwazia?Imewaongezea Yanga pointi ngapi?Maana huku inasomeka Simba 2 toa 1 Singidani.Kumbe jana watu wametetema huko kwa farao,
Ndugu muhasibu daraja la kwanza ebu njoo huku utupe maoni Yako Mayele ni liability au ni asset
OKW BOBAN SUNZU
View attachment 2776163View attachment 2776167View attachment 2776168
Hakuna lililobadilika mpaka sasa.View attachment 2776188
: Yanga ILIKUWA ni timu ya WATU wasio na Elimu
: Ilikuwa ni Timu ya WANANCHI wasio na Akili.
:Ilikuwa timu inayopendwa na WAJINGA na WAPUMBAVU WENGI.
Tuanze mojamoja.Kwa hiyo umekubali bila shuruti kwamba ninyi utopolo ni manyani?Sawa?Bila siye manyani
Kwanza nyani kibailojia ni buinamu yetu maana tunafanana genetically
Ila nyie ni mbumbumbu
Mbumbumbu ni jitu zero brain,ndezi kings halijiui lipolipo tu kama msukuke
Usikate tamaa kinyaninyani we jamaa!πππNyie shindeni tu,hata na ubingwa chukueni
Wasio na elimu sana,ila wanayo ndogoView attachment 2776188
: Yanga ILIKUWA ni timu ya WATU wasio na Elimu
: Ilikuwa ni Timu ya WANANCHI wasio na Akili.
:Ilikuwa timu inayopendwa na WAJINGA na WAPUMBAVU WENGI.
Mimi natumia biblia katika maisha yangu kuthibitisha uumbwaji wangu mwana Simba.Guvu moya!Wewe utopolo ni nyani anayeongea na kuandika.ππππHata wewe ni nyani genetically
No big deal
Au unataka ushaidi wa kisayansi na kibailojia kuwa binadamau na nyani ndugu!?
AahaaaMimi natumia biblia katika maisha yangu kuthibitisha uumbwaji wangu mwana Simba.Guvu moya!Wewe utopolo ni nyani anayeongea na kuandika.ππππ
Nimeukataa.Mbona hawabadiliki siku hizi?Kuna dawa wamepewa wasibadilike?Aahaaa
Ohoo kumbe ndo kichaka ulichoamua kujifichiamo
Kwahiyo biblia ndo inayokuambiwa kuwa ukatae hadi ushaidi ambao ni WA wazi tena unadhibitishika kisayansi!!?
Sasa,kwa nini unalia?π€Mwache ajipatie zake morning glory
Nyiehata mje kumi,kwagu ni wepesi kama pamba
Huna hoja