Kashinje Bulugu
JF-Expert Member
- Nov 4, 2018
- 245
- 191
Wewe ni nani? Naamini unaposema wao una maanisha wakenya.je wewe ni nani?!Mmeanza! yaani kununua ndege tayari mmeshaanza kuwaona wenzenu masikini kuliko ninyi. Hivi siku mkiwa na utitiri wa viwanda na ndege kama wao, si ndiio mtawaona hata Qatar kuwa ni masikini wa kutupa!!!
Mbona mapovu mengi hivyo.hebu ntajie ukweli unaoujua wewe kuhusu takwimu sahihi.?!Ni ujinga wa kiwango cha lami kujifanya umetembea Kenya wakati hata Tanzania yenyewe huijui. Kwa kipi hasa kilichopo Tanzania hadi useme umaskini siyo mkubwa? Tembea kwanza Tanzania ndipo utoe matapish yako tena.
Huu ni ukilaza; takwimu nilizopinga ziko wapi, au hata maana ya takwimu huijui?Ukitaka kupinga takwimu toa takwimu sahihi.huwez pinga takwimu bira kutoa takwimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Takwimu za serikali ya jiwe zitakulaghai. Tembea ujionee mwenyewe. Usitegemee maandishi yanayolenga kujijengea umaarufu kisiasa.Mbona mapovu mengi hivyo.hebu ntajie ukweli unaoujua wewe kuhusu takwimu sahihi.?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa walee wanaojikomba kwa wakenya hawapendi habari kama hii.Kenya: Watu wanaoishi chini ya mstari wa umasikini: 42%
Tanzania: Watu wanaoishi chini ya mstari wa umasikini : 24%
Hapana mzee.Japo siwakubali hao jamaa lakini kiuchumi wapo mbali kidogo.Uchumi wao unaendeshwa na sekta binafsi kwa hivyo watu wake wapo vizuri mfukoni.Kuanzia service industry mpaka manufacturing inashikiliwa na private sector.Watu wengi wanaajira Kenya kuliko kwetu na income ni nzuri individually.
Kwa hiyo unabisha??Umesema Kenya watu wana ajira kuliko bongo ???? Usichokijua ni sawa na usiku wa giza
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfumo.wa uchumi.wa kenya ni tofauti sana na tz hili ndilo linafanya kenya kuwa na watu wengi kwenye umaskiniRobo tatu ya kenya nishaitembelea.umaskini umetapakaa. Unaweza kkusanya wakenya 1000.wenye unafuu kimaisha unaw3za kuta ni %10 tu.hawa wengine ni manamba na vibarua kwenye mashamba makubwa ya mabepali.ukikusanya watu 1000 tnznia.wenye unafuu wa maisha unaweza kura ni %60. Na hata waliobaki utakuta wanamiliki ardhi.wana tung'ombe na tu kondoo.na wana nyumba zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni Mkenya. Nafikiri sasa umefurahi kupata jibu ulilotaka kulisikia.Wewe ni nani? Naamini unaposema wao una maanisha wakenya.je wewe ni nani?!
Sent using Jamii Forums mobile app