Kumbe kila mtu anaona raha upande wake

Wapiii...

Raha yenu inaisha harakaa [emoji1787][emoji1787]
Wapiii...

Raha yenu inaisha harakaa [emoji1787][emoji1787]
Raha tunapata sisi wewe, raha naanza kupata tangu imagination yako kabla ya kufika ulingoni😋..

Ila nyie viumbe mbarikiwe🙌 mko na taste tamu tamu kuanzia kwa bibi,ngozi zenu,vile mna smell,sauti

Kwa utamu wenu mnatufanya sometimes tunaenda speed/styles hadi baadae tunajiuliza hivi pale tulikunjana vipi.
 
Hahahaha, umevurugwa sana wewe🤣🤣. Missy Gf amesoma huu mwandiko?
 
Taratibu jirani 🤣🤣🤣
 
Aaaarg hi sio kweli sasa.. Mambo gani haya
 
Ukiwaza hivi taratiibu utamsupport lokole[emoji38][emoji38]
 
Nilisikia Ile raha ya kufika kileleni wanawake wanaiskiliIa Hadi wiki na Baadhi yao wanafika kileleni zaidi ya mara Moja.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ukiona linapiga kimya ujue huna ulichofanya...

Au sio ndugu zangu wanawake...
Kuna lingine ni linagugumia utam ndani kwa ndani, hata likifika Usangi unaona tu kama moto unataka kukata, ila hutasikia assshhh, aaaawwww, yeaaaah..nk kimya kimya, lazima stim zikate chap tu!
 
Nakugawa bfff
Hapo mwisho unaongea huku unajisukuma nyuma tayari 😅😅😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…