Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni Mimi🤣🤣🤣Hongera
Wale wa nitafanya kesho tujuane😂😂
Hata weight lifting, aerobics, calisthenics ni hivyo hivyo... mwili ukizoea una adapt faster inakuwa ngumu kuacha na usipofanya unajihisi hujakamilisha jambo,This is true.
Unajua mazoezi mwanzoni utaona mateso sana. Ila amini kuna mida kama after a week hivi ikifika mida unatamani sana kula tease. This is for jogging and evening run sijajua mazoezi mengine.
Nyama haina tatizo kama Wanga tunaokula asubuhi mchana na usikuDaaah ngoja nimalizie kilo yangu ya nyama after Gym
Binafsi napenda kukimbia. Huwa nakimbia u mbali wa km 15 kwa mda wa dakika 54 paka lisaa ivi. Najihis vizur kweli.Helloo JF!!
Hili sikulijua kabla au nililichukulia poa. Ni week ya tatu tangu nianze ratiba ya ufanyaji mazoezi kila siku tatu za juma saa 11 alfajiri. Hii ni baada ya siku moja kulazimika kukimbia kidogo umbali wa kama mita 180 hivi kuuwahi usafiri.
Nikajikuta natweta mno kama moyo uchomoke. Hapo ndio akili ikashtuka nikagundua mwili nimeuachia mno ingawa si mnene lkn pumzi sina kabisa.
Ikanifanya niweke palepale alarm kwenye simu yangu siku ya jumatatu, jumatano na ijumaa saa 11 kufanya jogging kidogo kwa dkk 30. Nilichagua hizi siku sababu haziangukii weekend so, ni rahisi kutoharibu hii ratiba.
Siku ya kwanza na ya pili nikakimbia round kumi kuzunguka uwanja. Siku zilizofuta nakimbia round kumi za kawaida(speed ya kawaida) na round tano za kasi kidogo.
Kwa sasa kiukweli naona tofauti yaani nikimaliza najisikia poa sana ni kama mwili umerelax vyema. Hata kwenye shughuli zangu naona tofauti ilikuwa nikifika nakuwa na uchovu mno asubuhi mwili unakawia mno kuchangamka. Kwa sasa hata usingizi nalala mzuri.
Nimeamua hii kwa sasa iwe moja ya ratiba ya maisha yangu.
Km 5 natumia dakika 12Wewe ni muongo.
Kilomita 15 ni kutoka Mwenge hadi Boko Magengeni.
Utumie dakika 54?????
Wastani wa Dakika 3.6 kwa Kilometa moja..Wewe ni muongo.
Kilomita 15 ni kutoka Mwenge hadi Boko Magengeni.
Utumie dakika 54?????
Wewe ni muongo.
Kilomita 15 ni kutoka Mwenge hadi Boko Magengeni.
Utumie dakika 54?????
Nipe mbinu mkuu mana kila siku nasema kesho.Bado mkuu.. ukizoea inakuwa kama ulevi(uraibu)
....Mazoezi Sio ' Tease ' ! Ni Exercise...Au tohoa TU Kiswahili..Tizi..!![emoji846][emoji846] [emoji846]...This is true.
Unajua mazoezi mwanzoni utaona mateso sana. Ila amini kuna mida kama after a week hivi ikifika mida unatamani sana kula tease. This is for jogging and evening run sijajua mazoezi mengine.