Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sanalii pole sana nyege mbaya sanaa, hajatoa hata sababu ? Daaah inauma mtima na busta umekunywa.Moyo wa mtu msitu, dakika za mwisho kabisa ndo unajua kua nauli imeliwa inabidi utulie, wadada wamekua wachakaramu sana. Bora mtu aombe tu hela kuliko hivi.
Amechelewa kuja mjini huyoSiku hizi hatutumi nauli, anakuja na nauli yake ataridishiwa.
Umependa mwenyewe kutapeliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna Dem mmoja alikuwa ananisimulia vile anavyokula nauli, anasema nauli Ni tamuuu.Moyo wa mtu msitu, dakika za mwisho kabisa ndo unajua kua nauli imeliwa inabidi utulie, wadada wamekua wachakaramu sana. Bora mtu aombe tu hela kuliko hivi.
Haya mwanzoni unamuona innocent, humin km atakupiga tukioSiku hizi hatutumi nauli, anakuja na nauli yake ataridishiwa.
Umependa mwenyewe kutapeliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hulazimishwi, ni unatuma mwenyewe baada ya iukuseti na wewe ukajaaUnaliwaje nauli kizembe hivyo usiendeshwe na mihemuko kwa kuaminishwa na mwanamke ujinga mwisho wa siku unazimiwa simu. Acha aje na nauli yake kama anakuelewa,ukiona unalazimishiwa utume nauli ujue unapigwa.
Shs ngap boss????Moyo wa mtu msitu, dakika za mwisho kabisa ndo unajua kua nauli imeliwa inabidi utulie, wadada wamekua wachakaramu sana. Bora mtu aombe tu hela kuliko hivi.