Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
Wakuu za Leo,
Naamini tuko poa kabisaaa na wale ambao wanapitia magumu kwenye maisha Yao basi mungu atawasaidia mkae poa.
Kumbe jamiiforums Kuna feature ya kusoma maandishi kwa sauti na hamsemi wakuuu 🤣 🤣 imebaki voice note tu kwa kweliii 🤨
Maendeleo mazuri pia
Nadhani mmepaona chini HAPO.
Nawasilisha
Naamini tuko poa kabisaaa na wale ambao wanapitia magumu kwenye maisha Yao basi mungu atawasaidia mkae poa.
Kumbe jamiiforums Kuna feature ya kusoma maandishi kwa sauti na hamsemi wakuuu 🤣 🤣 imebaki voice note tu kwa kweliii 🤨
Maendeleo mazuri pia
Nadhani mmepaona chini HAPO.
Nawasilisha