Akuu😅 we umeiona je?Wewe ulikuwa unaijua??
Nasikia tuWewe ulikuwa unaijua??
Nipashe bibiye!
Niko nashangaa ukuaji wa Technology 😜Nipashe bibiye!
Hata mimi macho yametoka kwa mshangao mkuuNiko nashangaa ukuaji wa Technology 😜
Itasomea sauti ya nani? 😜Hapo Cha kufanya uwe kama unataka kucopy KITU then utapona option ya "read aloud" itasoma sentence kwa sauti
Sijafanikiwa bado kuiona hiyo optionHapo Cha kufanya uwe kama unataka kucopy KITU then utapona option ya "read aloud" itasoma sentence kwa sauti
Hapo Cha kufanya uwe kama unataka kucopy KITU then utapona option ya "read aloud" itasoma sentence kwa sauti
Nimejaribu hapa nimeona inaongea kama bongo zozoItasomea sauti ya nani? 😜
Bora wangeweka isomee sauti ya Jiwe 🤭😅ili kumuenzi.Nimejaribu hapa nimeona inaongea kama bongo zazo