Pesa za ndani huku hata kutoa vitambulisho vya taifa kwa kila anayestahili mmeshindwa?We fala hii nchi inazo pesa sasa hivi,hata uchaguzi ni pesa za ndani zimetumika. Tril 2 si kitu kwa Tanzania ya leo.
Ni mataahira kama wewe tu huwa wanaweza kuamini hizi ngonjera unazozisema, eti pesa za ndani.We fala hii nchi inazo pesa sasa hivi,hata uchaguzi ni pesa za ndani zimetumika. Tril 2 si kitu kwa Tanzania ya leo.
Kwa hiyo hamuandamani tena? Mnatia aibu kwa kuliombea taifa mabaya
Mbona unateseka sana, kwanza wanajipendekeza wenyewe kuleta misaada kama ambavyo na CDM inajependekeza kwa mabeberu ili ipate hela!Sasa si muendelee na Bunge lenu?
Jiwe kazisaga akili zenu mpaka hamjielewi eti hela zipoWe fala hii nchi inazo pesa sasa hivi,hata uchaguzi ni pesa za ndani zimetumika. Tril 2 si kitu kwa Tanzania ya leo.
Usipendelee kufanya jambo la kimaendeleo kwa kutegemea misaadaAnaandika Leonce Marto wa CHADEMA kupitia mtandao wa twitter:
Kanuni za @bunge_tz zinataka kamati za kudumu za PAC na LAAC ziongozwe na wapinzani, CHADEMA hatupeleki Wabunge wa Viti maalum na hatutaki kunajisi chombo hiki muhimu cha wananchi. Mtakosa 2 trillion za donor countries kwa nchi kukosa utawala Bora! Mengi yanakuja CCM jiandaeni.
We jamaa akili zako zina mapengo unaambiwa 2tirl$ unajua ni sh, ngapi kwa madafu?We fala hii nchi inazo pesa sasa hivi,hata uchaguzi ni pesa za ndani zimetumika. Tril 2 si kitu kwa Tanzania ya leo.
Wajinga kama ninyi walikuwepo Zimbabwe ya Mugabe pambio kila mahali baada ya kufa babu unasikia anachofanya MnangagwaNdugu yangu uko Tanzania ya wapi wewe bado unawaza misaada.Jiwe ameshaondoka huko.Tayari tuna viwanda viwili vya kuchengua dhahabu, mpaka sasa tunauza dhahabu safi siyo ghafi tena.Tuna dividend kila mwaka toka bariick, tumepata certificate ya bati yetu.Kifupi ni kwamba TANZANIA kwa sasa ni mafuta
Mkuu unaandika tu utafikiri unafanya hesabu za genge lako la biashara hapa! Trilioni mbili ni mzigo wa maana, Taifa lina uhaba wa pesa kwa ajili ya kutekeleza bajeti (kasome utekelezaji wa Bajeti urudi hapa).We fala hii nchi inazo pesa sasa hivi,hata uchaguzi ni pesa za ndani zimetumika. Tril 2 si kitu kwa Tanzania ya leo.
Nani anakubembeleza wewe[emoji2][emoji2] kaa na njaa mkuuNdio maana nashangaa kwanini nguvu kubwa inatumika kuwabembeleza viongozi wetu wa chadema wakubali kuteua wabunge viti maalum [emoji38][emoji38]
Dua lenu halifanikiwi, kisa mmekosa Ubunge?Mkuu unaandika tu utafikiri unafanya hesabu za genge lako la biashara hapa! Trilioni mbili ni mzigo wa maana, Taifa lina uhaba wa pesa kwa ajili ya kutekeleza bajeti (kasome utekelezaji wa Bajeti urudi hapa).
Na usifikiri wataishia kwenye kutunyima trilioni mbili tu, wataendelea kutubana kwenye mambo mengi eno la misaada.
Mungu ibariki CHADEMAAnaandika Leonce Marto wa CHADEMA kupitia mtandao wa twitter:
Kanuni za @bunge_tz zinataka kamati za kudumu za PAC na LAAC ziongozwe na wapinzani, CHADEMA hatupeleki Wabunge wa Viti maalum na hatutaki kunajisi chombo hiki muhimu cha wananchi. Mtakosa 2 trillion za donor countries kwa nchi kukosa utawala Bora! Mengi yanakuja CCM jiandaeni.
Hahahahahahaha.... yaani nyinyi wanasaccos mnashida sana. Mwanzo mlikuwa mnasema lazima mtashinda uchaguzi baada ya kushindwa mkasema mtaandamana mkashindwa tena sasa mnasema tutakosa 2 trillion za wafadhiri. Haya bwana ngoja tuendelee kuwasikiliza Malalamiko FC!Anaandika Leonce Marto wa CHADEMA kupitia mtandao wa twitter:
Kanuni za @bunge_tz zinataka kamati za kudumu za PAC na LAAC ziongozwe na wapinzani, CHADEMA hatupeleki Wabunge wa Viti maalum na hatutaki kunajisi chombo hiki muhimu cha wananchi. Mtakosa 2 trillion za donor countries kwa nchi kukosa utawala Bora! Mengi yanakuja CCM jiandaeni.
Watakayemweka kwamba ni mpinzani tukimjua ama zake ama zetu! Labda wahamishie battalion nzima nyumbani kwake na kwa ndugu zake!Mkuu, hawa hawashindwi kujiundia upinzani wao!
Hizo trillion 2 watanyimwa CCM? Na je na je zisipotolewa wataadhilika CCM pekeeCcm sio taifa, acha kuchanganya taifa na hilo genge haramu la ccm.