Uchaguzi 2020 Kumbe kuna hatari ya kukosa Trilioni 2 kutoka kwa Wahisani kutokana na Kasoro za Uchaguzi(?)

Kama tunanunua ndege cash, hizo trillion 2 ni issue kweli? Hivi zipo kwenye shilingi au dola au euro au pauni ya Uingereza? Kwani TRA wanakusanya shs ngapi kwa mwezi kwa sasa?
 
Bado kuna hatari zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…