Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
njiakwelinauzima.wordpress.com
Kumbe ulikuwa hujui hata hilo! Kaa gizani haoni 😂🤓🤠Ukisoma katika biblia takatifu hasa kitabu cha mwanzo baada ya adamu kula tunda lile walilokatazwa kula Mungu aliwayafuta bustanini asiwaone.
Kumbe kuna wakati mungu Ukijificha hakuoni. Basi nikitaka kuzini nitakuwa najificha ili asinione
KWA LUGHA RAHISI ADAMU NA MUNGU walikuwa na ushurika wa Kiroho ,NAFASI ya kiroho aliyokuwa nayo Adamu ilikuwa ni ya UKARIBU /JIRANI na MUNGU.SIO KWELI...
(soma hii itakusaidia kuelewa)
![]()
UKO WAPI ?
Uko wapo ? /Where are you? “Bwana Mungu akamwita Adamu, akamwambia, Uko wapi? ” Mwanzo 3:9. Hili ndilo swali la kwanza katika biblia yote,kwa mara ya kwanza Bwana Mungu anaanza kumwuuli…njiakwelinauzima.wordpress.com
Nafikiri wewe umeandika mawazo yako ILA
kwa mujibu wa biblia, Mungu hakuwaona; ikabidi aite Adam, Adam, uko wapi?
Kwa hiyo Mungu ana maswali ya ki mitegoKWA LUGHA RAHISI ADAMU NA MUNGU walikuwa na ushurika wa Kiroho ,NAFASI ya kiroho aliyokuwa nayo Adamu ilikuwa ni ya UKARIBU /JIRANI na MUNGU.
BIBLIA INASEMA ..."dhambi inakutenga na Mungu=dhambi ni mauti""* dhambi ni roho ya chafu inayo ondoa ushirika na Mungu na inakuunganisha na ushirika na shetani.
Baada ya tu ya ADAMU kutenda dhambi KIROHO akawa ,amefungilia mlango wa kutawaliwa kuwa chini ya utawala wa shetani(yaani kaondoa ushirika na Mungu kaunga ushirika na shetani).
MUNGU anapomuuliza ADAMU UKO WAPI??? kwa nini siku zote kabla ya Afamu kutenda dhambi ...Mungu hajawahi kumuuliza UKO WAPI??
Kwa nini baada ya kula tunda ADAMU anajiona kuwa yuko UCHI??..dhambi ni inakuweka uchi..kuwa uchi kiroho mana yake ni nini?
Kwa nini baada tu ya kutenda dhambi anatafuta kujificha???
MUNGU ANAPOULIZA KITU SIO KWAMBA HAJUI JIBU AU HAJAONA..
Mfano ..Mungu anamuuliza KAINI yuko wapi ndugu yako??(ABELI)??
ANATAKA KAINI AJIBU??(anajua Kaini kamuua ABELI na damu ya ABELI inamlilia ,Mungu anasikia mpaka sauti ya damu ,damu ya Abeli aliyedhulumiwa uhai inaongea ina mlilia...LAKINI pamoja na kuyajua nankuyaona na kusikia sauti ..BADO akamuuliza KAINI ,YUKO WAPI ABELI NDUGU YAKO??(..huku anajua kuwa KAINI kamuua ndugu yake ABELI??
Kwa hiyo Mungu ana maswali ya ki mitego
Utoto raha sana, unaingiza kiçhwa kwenye maji, mknd uko nje unajua huonekani.Ukisoma katika biblia takatifu hasa kitabu cha mwanzo baada ya adamu kula tunda lile walilokatazwa kula Mungu aliwayafuta bustanini asiwaone.
Kumbe kuna wakati mungu Ukijificha hakuoni. Basi nikitaka kuzini nitakuwa najificha ili asinione
Ukifanya dhambi unakosa kuonekana kwenye utukufu na ile favor ya kimungu na ndio maana ya kutoonekana na Mungu. Na usiombe hilo litokee kwa yeyote ni balaa kubwa!Ukisoma katika biblia takatifu hasa kitabu cha mwanzo baada ya adamu kula tunda lile walilokatazwa kula Mungu aliwayafuta bustanini asiwaone.
Kumbe kuna wakati mungu Ukijificha hakuoni. Basi nikitaka kuzini nitakuwa najificha ili asinione
Maana yake haupo SEHEMU aliyokuweka kiroho,maana yake HAUPO KATIKA NAFASI yaki KIROHO..Mana yake umekufa(dhambi ni mauti)kimwili upo hai kiroho umekufa.Ukifanya dhambi unakosa kuonekana kwenye utukufu na ile favor ya kimungu na ndio maana ya kutoonekana na Mungu. Na usiombe hilo litokee kwa yeyote ni balaa kubwa!
Aliwatega ajue kama watamdanganyaUkisoma katika biblia takatifu hasa kitabu cha mwanzo baada ya adamu kula tunda lile walilokatazwa kula Mungu aliwayafuta bustanini asiwaone.
Kumbe kuna wakati mungu Ukijificha hakuoni. Basi nikitaka kuzini nitakuwa najificha ili asinione
Kwenye hivyo vinavyoitwa vitabu vitakatifu kuna mambo ya kustaajabisha sana. Nyoka anaongea na mwanamke kumshawishi ale tunda, Mungu anajawa na hasira kali na bila huruma anawafukuza watu aliowaumba kwa hiari yake kutoka bustanini, mwanamke anaadhibiwa kwa kuzaa kwa uchungu na mwanamme kutoka jasho ili ahudumie familia yake. Kisa ni kula tunda tu. Wangeukata mti sijui ingekuwaje.KWA LUGHA RAHISI ADAMU NA MUNGU walikuwa na ushurika wa Kiroho ,NAFASI ya kiroho aliyokuwa nayo Adamu ilikuwa ni ya UKARIBU /JIRANI na MUNGU.
BIBLIA INASEMA ..."dhambi inakutenga na Mungu=dhambi ni mauti""* dhambi ni roho ya chafu inayo ondoa ushirika na Mungu na inakuunganisha na ushirika na shetani.
Baada ya tu ya ADAMU kutenda dhambi KIROHO akawa ,amefungilia mlango wa kutawaliwa kuwa chini ya utawala wa shetani(yaani kaondoa ushirika na Mungu kaunga ushirika na shetani).
MUNGU anapomuuliza ADAMU UKO WAPI??? kwa nini siku zote kabla ya Afamu kutenda dhambi ...Mungu hajawahi kumuuliza UKO WAPI??
Kwa nini baada ya kula tunda ADAMU anajiona kuwa yuko UCHI??..dhambi ni inakuweka uchi..kuwa uchi kiroho mana yake ni nini?
Kwa nini baada tu ya kutenda dhambi anatafuta kujificha???
MUNGU ANAPOULIZA KITU SIO KWAMBA HAJUI JIBU AU HAJAONA..
Mfano ..Mungu anamuuliza KAINI yuko wapi ndugu yako??(ABELI)??
ANATAKA KAINI AJIBU??(anajua Kaini kamuua ABELI na damu ya ABELI inamlilia ,Mungu anasikia mpaka sauti ya damu ,damu ya Abeli aliyedhulumiwa uhai inaongea ina mlilia...LAKINI pamoja na kuyajua nankuyaona na kusikia sauti ..BADO akamuuliza KAINI ,YUKO WAPI ABELI NDUGU YAKO??(..huku anajua kuwa KAINI kamuua ndugu yake ABELI??