Kumbe kuna scenario ambapo ukijificha Mungu hakuoni!!

Hata wewe dhambi zikizidi inapoteza Uungu ndani yako,unapoteza connection na Mungu
 
Uthibitisho wa haya huwa mnautoa wapi? Wakati ADAM na HAWA hawakuwa na elimu ya kuandika, walikuwa wawili pekeyao na hakukuwa na shahidi, zaidi ya kusoma biblia kuna ushahidi kwamba haya yalitokea?

Hiyo Bustani iko wapi? na kuna utafiti wa kisayansi unaonyesha kuna sayari nyingi tu, kwanini hiyo biblia inasema Mungu alimfukuza na kumtupa lucifer Duniani?

Na Adam na Hawa nao wakafukuzwa bustani ya Edin nao wako Duniani, unaweza kumtofautisha huyo shetani aliyeko humu duniani na Binadamu aliyeko humu duniani?

Kuna uwezekano kwamba huyo shetani ndiye mwanadamu?

kwasababu Hiyo Biblia inasema Mungu alimuumba mwanadamu kwa mfano wake, Je Huyo shetani anaumbo gani humu duniani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…