HAPANA ILA SHETANI ndiye mwenye kuuliza maswali ya kimtego,
yeye ndiye anauliza akiwa anajua jibu KWA LENGO LA KUKUTEGA...
mfano shetani akiwa katika umbo la nyoka. ndani ya bustani ya EDENI.
alimuuliza swali EVA
Swali: ETI??hivi ndivyo alivyosema MUNGU kuwa msile matunda yote ya humu bustanini...????
ETI???(Anawatega..)
Na matokeo ya mtego wake alifanikiwa KUWADANGANYA na ndio LENGO la kuwatega ILI AWADANGANYE (mana shetani ni baba wa uongo..bingwa wa UONGO)
Kinyume kabisa na matendo ya MUNGU.
N:B Kulitaja bure jina la Mungu kwa lengo la kufanya midhaha,au kukejeli ni kukufuru na ni dhambi.Tulitaje jina la Mungu endapo kuna umuhimu/ulazima na kwa mambo ya maana(ILI TUSIJE HESABIWA DHAMBI)
Midhahaha na kejeli kwa Mungu ni dhambi.