Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Star TVEbu soma nilichokiandika hapa
Asante kwa kunisaidia mana mimi sio muangaliaji wa tv sikumbuki ni channel gani nilikuwa nimekaa mahali nikisubiri nihudumiwe huduma fulani then niingie kulala
Star Tv.Source?
We chawa hilo shindano lipo Star Tv huko atafutwa chawa bora. Navyoona unaweza ingia top 10 fresh tu.Weka ushahid, acha kuweweseka.
Samia tena 2025
Wala usisikitike. Waswahili wanasema ''ngoma ikivuma sana...''. Ukiona hivi ujue mwisho wa CCM unakaribia. Wataweza kuwakirimu wangapi? Tena ni vizuri kabisa na acha kila mtanzania aimbe jina la Samia na CCM. Watu watasifu mchana lakini jioni watarudi nyumbani na kujikuta hali ni ile ile. Uzuri ni kwamba njaa haina cha huyu anasifu au huyu anaponda.Nilikuwa nimempumzika mahali Fulani usiku wa Jana ndio nikakutana na hichi kioja watu wazima wenye akili timamu wameandaa shindano la kumsifu na kumuabudu rais Samia jambo hili ni lakukemewa kabisa lisiendele wakusifiwa na kuabudiwa ni yeye pekee Mungu
Star TVEbu soma nilichokiandika hapa
Asante kwa kunisaidia mana mimi sio muangaliaji wa tv sikumbuki ni channel gani nilikuwa nimekaa mahali nikisubiri nihudumiwe huduma fulani then niingie kulala
CHAWAAAAAAW.....Nilikuwa nimempumzika mahali Fulani usiku wa Jana ndio nikakutana na hichi kioja watu wazima wenye akili timamu wameandaa shindano la kumsifu na kumuabudu rais Samia jambo hili ni lakukemewa kabisa lisiendele wakusifiwa na kuabudiwa ni yeye pekee Mungu