Kumbe kuna uhaba wa USD ($) Tanzania?

Kumbe kuna uhaba wa USD ($) Tanzania?

Kwa USD main accounts zinakuwa USA kwa GBP zinakuwa UK kwa Euro zinakuwa Europe.

Ndio maana baada ya Russia kuvamia Ukraine US waliconfisticate Russia accounts 300 Billions USD huko US.

USD ndio global reserve currency mfano nchi ikitaka kununua oil inabidi iwe na USD ambazo US wanakukopesha au unauza kwao uzipate.

BRICS wanapambana kuondoa hii current world order kwa kuunda currency yao na kutrade direct between trading partners currencies.

Hiyo ndio de-dollarization
Shida ya Mrusi ni mchoyo.Mmarekani na nchi za ulaya wakiona hiyo kitu inatengamaa ,watatoa misaada na mikopo mingi kwa nchi za dunia ya tatu kwa dolla na mrusi sio mtu wa hivyo.So dolar nyingi zitakuwepo kuliko Yuen and Rabble nk.Na Mrusi mwenyewe reserve currency yake mpaka sasa ni Dolar inganwa US wameconfisticate zote zilizopo kwenye mataifa rafiki na US.SWIFT code and VISA ni makampuni ya kimarekani na 95% ya transaction zote duniani zinatumia mifumo hii miwil so US is monitoring all the currencies in the world na kujua how to manipulate and to take advantage of the system.Mrusi yeye bado anakuwa busy na kujijenga kijeshi ,kiuchumi na supply yake kubwa ni mafuta.Na inaonekana next 50yrs mafuta hayatakuwa commodity inayohitajika duniani.
 
China mikopo yao kwa nchi za kiafrika ni 0.001% against mikopo na misaada inayotoka nchi za Marekani na Ulaya.Mind you ,nchi zilizo kwenye BRICS hawatoi misaada wala mikopo mikubwa kama Marekani.Pia ujue kuwa US ndio mnunuzi mkubwa wa bidhaa za China ,ikifuatiwa na Hong Kong,Japan,Germany nk na wote ni marafiki wa US watalipa kwa US dollar tu.China anaweza kumlazimisha Marekani alipe Yuen but Chna mjanja awezi kumpoteza mmarekani huwa anacheza karata yake vizuri .Na kwa taarifa yako hakuna mtu mnafiki kama Mchina.Mrusi akae nae mbali
China hataki pesa yake ipande thamani maana anajua Marekani ataanza tengeneza na kuuza nje
 
Sio kweli!
sema upepe ufafanuzi mkuu, sio mstari 1 kukataa kitu chenye ushahidi

nafanya taasisi ambayo tunakopa crdb dolla, kuanzia mwezi wa 12 wamekuwa wakitoa mikopo hii kwa manati unaomba dolla zinachukua mwezi tena hupewi kiwango kile ulichoomba inakuwa pungufu
 
Hivi ukisikia mikopo inalipwa unadhani wanapeleka CASH????

Tsh inakuwa converted to USD mkuu, sio kwamba wanabeba kwenye sandarusi mkuu.

Bidhaa pia unaagiza online with the option ya exchange rate.

Unaposikia Dangote ana utajiri wa USD 8 Billions unadhani kwenye akaunti zake zipo hizo DOLA? Zipo NAIRA zaidi sema wanaziconvert to USD

Elimika acha kukariri na vitu vya Advanced School.

Rudi shuleni mkuu, ama waachie wataalam wa fedha haya mambo yapo juu yako.
 
Jamani tuwe tunasoma soma kidogo! Tatizo la uhaba wa USD currency sio la Tanzania peke yake, hili ni tatizo la dunia yote. Please soma link hizi hapa chini kwa taarifa zaidi



Uko sahihi kiongozi.
 
Nchi kukosa $US dollars kunatokana na tabia ya serikali kuwapa kandarasi kampuni nyingi za nje hasa China.
Huwezi kutumia akili sana kuona kwamba Serikali inazipa contract kampuni nyingi za nje kwa Tanzania shillings
Hao makandarasi wanapolipwa wananunua $US dollars zote kwenye market.
Hili limelalamikiwa na wafanyabiashara na makandarasi wengi nchini kupitia vyama vyao, lakini walio serikalini hawaelewi wala kusikia.

Kimsingi ukuwawezesha wazalendo kwa kuwapa kandarasi fedha yote inabaki nchini
Kina Mwigulu inalekea wana PhD za makaratasi tu.
.
20230509_210058.jpg
 
I will advice my forex broker to add this pair Tzs/usd ili watu wa forex wawe matajiri
 
Back
Top Bottom