1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
1,Hata nikipigiwa simu naingalia tu au nachelewa kupokea,,
2,Nachelewa kujibu sms,,,
3, Nikimkubalia huko mbeleni nitamuumiza tu,,
Kila mda anaulizia jibu,,, mm namjibu kuwa acha matani bwana umenipendea nn?
Ananijibu we mwanaume sijui uliogea maji gani? ANASEMA NIMEMTESA MIAKA 3,, KAAMUA KUFUNGUKA NA ANASEMA NIHESHIMU HISIA ZAKE NISIMCHUKULIE KUWA YE MALAYA.
Sent using Jamii Forums mobile app
2,Nachelewa kujibu sms,,,
3, Nikimkubalia huko mbeleni nitamuumiza tu,,
Kila mda anaulizia jibu,,, mm namjibu kuwa acha matani bwana umenipendea nn?
Ananijibu we mwanaume sijui uliogea maji gani? ANASEMA NIMEMTESA MIAKA 3,, KAAMUA KUFUNGUKA NA ANASEMA NIHESHIMU HISIA ZAKE NISIMCHUKULIE KUWA YE MALAYA.
Sent using Jamii Forums mobile app