Kumbe kuna Usumbufu tunaopata wanaume tunapotongozwa na mwanamke ambao hatuna hisia nao.

1kush africa

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2016
Posts
9,552
Reaction score
13,090
1,Hata nikipigiwa simu naingalia tu au nachelewa kupokea,,
2,Nachelewa kujibu sms,,,
3, Nikimkubalia huko mbeleni nitamuumiza tu,,

Kila mda anaulizia jibu,,, mm namjibu kuwa acha matani bwana umenipendea nn?

Ananijibu we mwanaume sijui uliogea maji gani? ANASEMA NIMEMTESA MIAKA 3,, KAAMUA KUFUNGUKA NA ANASEMA NIHESHIMU HISIA ZAKE NISIMCHUKULIE KUWA YE MALAYA.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi huwa napokea Tu simu " naongea nae friendly kabisa ... Kama vile sina kikwazo nae ..... lakini kila atakapo kuwa anataka tuonane naishia kum-bwaga tu kuwa niko busy " ..... Mpaka baadae atajiongeza na kugundua kuwa yeye sio chaguo langu ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Endelea kujisikia raha, ataenda kwa Bibi yake, utaja kolea halafu utakuka kulia lia hapa! Kama humtaki mwanamke mkate kabisa aende zake, ukikaa naye kwa majadiliano na kujiona handsome kwa sababu wavaa nguo za Kaka yako na kupaka perfume zake siku yako yaja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…