Kumbe leo ni siku ya mfanano na siku ya kuzaliwa kwangu

Kumbe leo ni siku ya mfanano na siku ya kuzaliwa kwangu

Dadakidoti

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2024
Posts
399
Reaction score
1,409
Maisha yanaenda kasi sana, yaani sijapata wishes kutoka kwa mtu yeyote hata Wazazi wangu wenyewe naona wameisahau, marafiki na ndugu zangu pia🙄 zaidi nimepata kutoka mitandao ya simu ya mkononi Airtel na Tigo nikaona isiwe tabu labda naweza ambulia toka huku jamvini.

Mwenzeni naukaribia ubibi nimetimiza 36 leo. Ajabu umri wangu na mwonekano wangu vinakinzana yaani umri mkubwa kuliko mwonekano wangu. Yote kwa yote namshukuru Mungu kunijalia uhai na kunipa afya njema.

Nawatakia mafanikio mema.
 
Happy Birthday dada Kidoti
 

Attachments

  • IMG_0295.jpeg
    IMG_0295.jpeg
    433.7 KB · Views: 2
Maisha yanaenda kasi sana, yaani sijapata wishes kutoka kwa mtu yeyote hata Wazazi wangu wenyewe naona wameisahau, marafiki na ndugu zangu pia🙄 zaidi nimepata kutoka mitandao ya simu ya mkononi Airtel na Tigo nikaona isiwe tabu labda naweza ambulia toka huku jamvini.

Mwenzeni naukaribia ubibi nimetimiza 36 leo. Ajabu umri wangu na mwonekano wangu vinakinzana yaani umri mkubwa kuliko mwonekano wangu. Yote kwa yote namshukuru Mungu kunijalia uhai na kunipa afya njema.

Nawatakia mafanikio mema.
njoo pm nione picha yako
Happy birthday
 
Maisha yanaenda kasi sana, yaani sijapata wishes kutoka kwa mtu yeyote hata Wazazi wangu wenyewe naona wameisahau, marafiki na ndugu zangu pia🙄 zaidi nimepata kutoka mitandao ya simu ya mkononi Airtel na Tigo nikaona isiwe tabu labda naweza ambulia toka huku jamvini.

Mwenzeni naukaribia ubibi nimetimiza 36 leo. Ajabu umri wangu na mwonekano wangu vinakinzana yaani umri mkubwa kuliko mwonekano wangu. Yote kwa yote namshukuru Mungu kunijalia uhai na kunipa afya njema.

Nawatakia mafanikio mema.
Happy pon pon deiii kwako dadakidoti 🤗🤗🤗


Uishi maisha marefu mkuu
 
Tangazo limekaa kimkakati, ama kweli jf ni jumba la magreat thinker.
Bila D mbili unaweza kumkosa hivihivi..

Enewei happy birthday binti.
 
Tangazo limekaa kimkakati, ama kweli jf ni jumba la magreat thinker.
Bila D mbili unaweza kumkosa hivihivi..

Enewei happy birthday binti.
mimi sio binti ni mmama. mimi sio wale wasiopenda ukubwa najikubali nilivyo mimi ni mmama. sio binti jmn na vitoto vya 2000 utaitaje
 
mimi sio binti ni mmama. mimi sio wale wasiopenda ukubwa najikubali nilivyo mimi ni mmama. sio binti jmn na vitoto vya 2000 utaitaje
Umesema muonekano wako ni tofauti na umri wako, kimwili ni binti wa buku mbili kiroho na mifupa ina umri wa 36 yrs.
 
Back
Top Bottom