The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
Salaam! Ila ndiyo ivyo import pale getini iwe namanga, iwe holili, iwe tarakea wanazingua geti la tz TRA wameeka utaratibu siyo yaani sijui tupite njia za panya, hivi yupo anaye zifahamu njia za panya huko nasikia tarakea ndio simple kucross Ila wale mgambo wakikushika ni kipigo wanasema umebeba bangi au miraa japo ukipita na wenyeji wa pale unaweza salimika lakini ndiyo ivo tena kumpata mwenyeji muaminifu nayo kazi wale wana ukora sana.