Kumbe Majini sio viumbe vya kuogopa, yana vibrate at low frequency kuliko sisi

Kumbe Majini sio viumbe vya kuogopa, yana vibrate at low frequency kuliko sisi

Ego unaeza ishinda kwa kujilazimisha kua na upendo kamili(usio na masharti)

1wakorintho13:4
"upendo huvumilia, hufadhili, hauhusudu, hautakabari wala haujivuni.

Wakolosai3:14
"jivikeni upendo, ndio kifungo cha ukamilifu.

Ukiwa na upendo ego utaishinda kirahisi.

Yes upendo ndio dawa yake.
 
Waganga ulaya wapo mkuu hawapo kama walivyo waganga wa africa ila wapo wanatibu na kupiga ramli ambayo waafriika wenyewe hawaifikii.
Umepimaje kwamba hatuwezi ifikia, bado hujui ukuu wako. Yeyote anaweza kuwa the greatest if ataji-commit
 
Umepimaje kwamba hatuwezi ifikia, bado hujui ukuu wako. Yeyote anaweza kuwa the greatest if ataji-commit
Sijasema hatuwezi kuwafikia bali njia wanayotumia wao ni tofauti na sisi tunavyofanya kwahiyo issue sio kwa sababu ya uzungu wao bali hata sisi tunaweza kufanya kama wafanyavyo wao.
 
Huku kwetu kuna wachawi akiiangalia tu hyo mboga haivi hata uipike mwezi mzima sasa hizo habari zenu za frequence ni stor
 

Trust me humu pia wanga wamo tena wanasoma replies na wanaelewa haya mambo. Inatisha
Kitendo cha kusema INATISHA tayari umeshajiongezea hofu , kitu ambacho si kizuri. Jitengenezee maneno yako binafsi ya kujiondolea HOFU ambayo utakuwa ukiyatamka daily na kuyatumia kila utakapo kutana ma mazingira ya kukutia hicu, utaina mambo yanabadilika. "Always what you think is realy becomes your reality"
 
Ni elimu Pana Sana kwanza Unatakiwa Uanze Basic kabisa za Elimu ya Spirituality..
NA Vitabu viko vingi sana Kuna Kipindi Nilikuwa anavishare Humu ni kama Miezi sita au Nane imepita kama sio Mwaka..
Ila Mazingira Hayakuwa mazuri ya Kushare vitabu hivyo nitakutafuta Inbox na Nitakutumia Mwenyewe Vitabu Vyote kuanzia Vya Basic Mpaka Hatua za juu..
Nami nahitaji mkuu
 
Hayo madude wanayajua waarabu na wabongo wanaoiga Mila za kiarabu
 
Ni elimu Pana Sana kwanza Unatakiwa Uanze Basic kabisa za Elimu ya Spirituality..
NA Vitabu viko vingi sana Kuna Kipindi Nilikuwa anavishare Humu ni kama Miezi sita au Nane imepita kama sio Mwaka..
Ila Mazingira Hayakuwa mazuri ya Kushare vitabu hivyo nitakutafuta Inbox na Nitakutumia Mwenyewe Vitabu Vyote kuanzia Vya Basic Mpaka Hatua za juu..
mkuu habari, naweza kupata hivyo vitabu pia?
 
Hayo madude wanayajua waarabu na wabongo wanaoiga Mila za kiarabu
Hujawafuatilia tu wazungu wao wanakwambia kila mtu ana spirit guide wake(jini) na huweza kumtumia jini huyo kukupa information mbalimbali, wanakwenda mbali zaidi wanaongea hadi na watu waliyokufa.

Google kuhusu spirit guide na mediumship.
 
Naona wengi tunakimbili kutawala ulimwengu kabla yakujitawala wenyewe mfano kutawala njia za fahamu zako kwanza. Mf. Unawezaje kutawala hisia kama hasira, mihemko wa kingono nk. kutawala macho Yako sio Kila unachokiona lazima ukile, ununue, uvae, uibe n.k . Vipi kutawala masikio Yako na Kila unachokisikia basi usikiamini mpaka udhibitishe/utafakari n.k vipi kuhusu kutawala pua zako usinuse Kila kitu, sio Kila unusacho ukitumie, uvutiwe nacho yaani wapaswa ku-reason n.k . Mdomo kutumia kwa weledi mkuu n.k
Kikubwa ukijibu swali hili kwanza utakua umeanza safari ya elimu hii kuu. "Wewe ni nini?"
Huwezi ku command chochote kama huwezi command viungo vya mwili wako ndio maana watu wanao jifunza huitajika waache baadhi ya vitu kama ishara ya commitment juu ya wanachojifunza maana mwisho wa sikuu kunakigezo chakujiapiza kutotoa Siri. Ikiwa huwezi kuuchunga ulimiwako utaumia.
 
Back
Top Bottom