Ni wapi ulishawahi kumuona mchawi anapaa kwny ungo?
Wazungu nao zamani walikuwa wanaamini ushirikina kama wewe, lakini walikuja kuelimika na hadi leo huwezi kukuta mganga wa kienyeji Ulaya.
Niambie best, ni wapi umekutana na popobawa, au jini Maimuna?
......
Come On Bro ..
1.Ni Wapi Ulishawahi Kumuona Mchawi Anapaa Kwenye Ungo?
*Swali La Kipuuzi Kama Hili Haliwezi Kujibiwa Kwa kutumia Keyboard Ya Jamii Forum.
Ongeza Exposure Yako Kimaisha Kwa Kutembea Na Kuona Usiishie Jamii Forum,Insta Na Tik Tok Na Kumezeshwa Madesa Ya Darasani.
Kaa Mtaani Na Watu Waliokuzidi Maarifa,Umri Hadi Hekima.PATA ELIMU DUNIA.
Halafu ukija Jamii Forum Usiulize Upuuzi Na Usiitwe Mweupe.UNABOA MTOTO!
2.Wazungu nao zamani walikuwa wanaamini ushirikina kama wewe, lakini walikuja kuelimika na hadi leo huwezi kukuta mganga wa kienyeji Ulaya.
3.Niambie best, ni wapi umekutana na popobawa, au jini Maimuna?
Weupe wenyewe Kichwani Ndo huo Hap😵NGEZA Exposure na ukome kuitegemea Jamii Forum.