Kumbe Majini sio viumbe vya kuogopa, yana vibrate at low frequency kuliko sisi

Kumbe Majini sio viumbe vya kuogopa, yana vibrate at low frequency kuliko sisi

Shame on me?! You cant be serious.

It must be shame on the person, who is mweupe and then haulizi.

And most importantly, shame on the person like you anaedhani anajua sana halafu hataki kuelimisha wenzie ambao ni 'weupe'

Mbona kuna watu wanajua sana humu kama akina DR Mambo Jambo na Kiranga tukiuliza kitu wanatuelekeza?

Inawezekana na wewe hujui tu unashindwa kujibu maswali unakimbilia kuyaita ya kijinga.
Kuuliza Ndiyo hasa Sehemu ya Kujifunza..
Na yoyote anayejifunza lazima Aulize maswali..
Maswali yako Yana Msingi sana!

Na hakunaga Swali la Kipuuzi Kokote kule!
Psychologically Maswali madogo sana Huweza Kudermine IQ ya mtu kwenye Jinsi anavyoweza Kujibu maswali hayo..

kingine Busara kwenye Maswali ya Kijinga huonekana kwenye Majibu ya Busara..
kama Aliona Ni maswali ya Kijinga angeyajibu kwa busara..

lakini ni vigumu Kuyajibu maswali ya Kipuuzi kwa mtu ambaye naye hana Elimu nayo..

Dunia Ya sasa Inaharibiwa Sana na Vijana wanaohisi wanajua Ila Kuelezea anachojua hawezi..
 
Maswali dawa yake kuyajibu au kukubali huna jibu.

Mtu akidharau swali kuwa ni dogo bila kulijibu tunakuwa hatujui kalidharau swali kwa sababu ni dogo au kashindwa kujibu tu.

Zaidi, tuna tatizo sana la ad hominem fallacy, badala ya kuangalia hoja na kuijibu, tunaanza kumshambulia mtoa hoja.

Hii ni fallacy ambayo mara nyingi hufanywa na watu wasio na hoja.
Hajajibu hoja kwa madai kuwa ni ya kijinga, kana kwamba haitoshi, ananitaka nikae kimya!

Ni kitendo ambacho kimenisikitisha sana.
Kuuliza Ndiyo hasa Sehemu ya Kujifunza..
Na yoyote anayejifunza lazima Aulize maswali..
Maswali yako Yana Msingi sana!

Na hakunaga Swali la Kipuuzi Kokote kule!
Psychologically Maswali madogo sana Huweza Kudermine IQ ya mtu kwenye Jinsi anavyoweza Kujibu maswali hayo..

kingine Busara kwenye Maswali ya Kijinga huonekana kwenye Majibu ya Busara..
kama Aliona Ni maswali ya Kijinga angeyajibu kwa busara..

lakini ni vigumu Kuyajibu maswali ya Kipuuzi kwa mtu ambaye naye hana Elimu nayo..

Dunia Ya sasa Inaharibiwa Sana na Vijana wanaohisi wanajua Ila Kuelezea anachojua hawezi..
 
Taarifa zako hazipelekwi kwa Mungu, bali kuna mahali zinahifadhiwa mbinguni, ni kama ofisini tu file lako linavyopelekwa masijala na ndicho hawa Malaika wanachofanya. Siku ya Qiyama file lako linanyofolewa na kusomewa mwenendo wako.
Chief, mbona ukitazama kimantiki tu ndio hivyo. File ukilipeleka masijala ndio sawasawa tu na umepeleka taarifa zako kwa Serikalini, kwa Rais, kwa nini tusiseme kuwa taarifa zikipelekwa huko zinakohifadhiwa mbinguni ndio zimepelekwa kwa Mungu?


Kwa mafundisho ya kiislamu idadi yako ya pumzi, quantity yako ya chakula, kiasi chako cha maji kimeshawekwa na Mungu na kuna malaika maalumu wanaohusika na hayo majukumu.

Ikiwa kama kiasi chako cha maji ulichopangiwa kwa matumizi ya uhai wako kimekwisha, anakuja malaika maalumu aliyepatiwa hilo jukumu na Mungu ambaye utamuona wewe tu na kukuambia "Ewe mwana wa adamu, nimezunguka mashariki na magharibi ya dunia lakini sijaona hata tone lako la maji lilibakia kwa matumizi yako!

Anakuja wa chakula naye anatamka hayo hayo! Anakuja wa pumzi naye anatamka hayo hayo! Wa pumzi akimaliza kutamka tu anakuja Malakul maut! Malaika wa kifo yaani Israel. Yeye anakuja kwa kazi moja tu la kukutoa roho! Hana stori yule!

Sasa hapo ujumbe ameufanya wapi?
Sheikh, kwa maelezo yako inaonesha Ufalme wa Mbingu umeuchukulia kimwili sana kuliko kiroho.

Ndio maana malaika mlinzi umechukulia kashika ngao na jambia anapigana na vinavyoweza kudhuru mwili. Je ukichukulia kuwa anacholinda ni roho zaidi haitaleta maana zaidi ya yeye kuwa Mjumbe?. Yaani kukupatia taarifa na maarifa ya kuiepusha roho yako na madhara? Je haibadilishi kutoka kushika jambia hadi kushika memo, misahafu na ilmu ya kimbingu?

Pia issue ya majeshi ya malaika ya mbinguni yaliyopigana na jeshi la shetani. Unafikiri walikiwa na mabomu na mikuki? La. Shetani alijitungia ujumbe wa kupotosha. Gabrieli na wenzie wakasimamia ujumbe sahihi. Hiyo vita kuu mbinguni ilikuwa ni MICHUANO YA MIDAHALO MIKALI! A clash of ideas.

Ukiuchukulia Ufalme wa Mbingu ki-Roho zaidi. Utagundua wazo, taarifa na maarifa yanachukua nafasi ya kwanza kabla hata ya nishati na maada (mwili). Malaika wanakuwa wa kudili na ujumbe zaidi kuliko hata kuhesabu chakula na athari nyingi e za kimwili.

Na kugusia, tu malaika kupuliza baragumu athari ya msingi ni kuwaarifu viumbe wote kwa mwisho ndio huu na kupeperusha milima ni maudhi madogomadogo tu. Athari ya ki-Roho inaanza kisha ya kimwili yanafuatia.
 
Kuna Kitu Kimoja ambacho nimekigundua Kwenye Uandishi
Mimi nahisi umezunguka, jamaa kuna vitu anaviamini kichwani (vimekaa kiimani zaidi) mwake na hataki kuingiza vitu vipya kichwani coz anaamini ndiyo sahihi zaidi.

Watu wa aina hii hupenda zaidi kubishana mpaka mwisho ili aonekane kashinda na siyo kuelekezana.Kwa kifupi huwa hawataki kushindwa.
 
naiwinda stage ya I AM kwa spidi sana, nimejipa January na February lazima niwe level nyingine
 
File ukilipeleka masijala ndio sawasawa tu na umepeleka taarifa zako kwa Serikalini, kwa Rais, kwa nini tusiseme kuwa taarifa zikipelekwa huko zinakohifadhiwa mbinguni ndio zimepelekwa kwa Mungu?

Sheikh, kwa maelezo yako inaonesha Ufalme wa Mbingu umeuchukulia kimwili sana kuliko kiroho.

Ndio maana malaika mlinzi umechukulia kashika ngao na jambia anapigana na vinavyoweza kudhuru mwili. Je ukichukulia kuwa anacholinda ni roho zaidi haitaleta maana zaidi ya yeye kuwa Mjumbe?. Yaani kukupatia taarifa na maarifa ya kuiepusha roho yako na madhara? Je haibadilishi kutoka kushika jambia hadi kushika memo, misahafu na ilmu ya kimbingu?

Pia issue ya majeshi ya malaika ya mbinguni yaliyopigana na jeshi la shetani. Unafikiri walikiwa na mabomu na mikuki? La. Shetani alijitungia ujumbe wa kupotosha. Gabrieli na wenzie wakasimamia ujumbe sahih
wote wapo sawa, tofauti yao ni mitizamo.

Mjumbe/mtumishi, wote hutimiza majukum yao kwa niaba ya boss wao.
 
Ni elimu Pana Sana kwanza Unatakiwa Uanze Basic kabisa za Elimu ya Spirituality..
NA Vitabu viko vingi sana Kuna Kipindi Nilikuwa anavishare Humu ni kama Miezi sita au Nane imepita kama sio Mwaka..
Ila Mazingira Hayakuwa mazuri ya Kushare vitabu hivyo nitakutafuta Inbox na Nitakutumia Mwenyewe Vitabu Vyote kuanzia Vya Basic Mpaka Hatua za juu..
Habari mkuu pm yako umefunga,

Naomba na Mimi unisaidie hzo materials
Natanguliza shukrani
 
Mada iendeleee jamani...
Nilitaka nishushe mada yangu kuhusu kuachana na shangazi dorry ila nimeona hapana...

Ngoja nije huku kujadili mambo muhimu huwenda nikajua frequency zangu kwanini napenda mishangazi na kwanini mishangazi inanitumia hovyo....

Nawaza pia kwanini wataalam wasilete na elimu ya antielogy hii itasaidia vijana kujua njia ipi sahihi ya kuishi na mishangzi hapa mjini


Ngoja niamke sasa
 
frequences na vibrations zinamata lakin, kufikia kiwango cha vibration kubwa kiasi cha wachawi akikuona anabadili njia sio rahisi hata kidogo, pia hao majini jana rank zake lakin majini wengi ni dhaifu, watchers ndo hatari sana na wale walio dhaliwa nao damuni yani hybrids
Jazia Nyama hapo kwenye hybrids Inakuwaje kuwaje mpaka binaadamu anazaliwa nao damuni Hao viumbe
 
Haka kauzi lengo ni kutuvuruga na misamiati yake ya frequencies pamoja na energies.

Kwa lugha nyepesi hapo ni kwamba, ukiwa mtenda dhambi, mtu wa kujikatia tamaa, mpweke, una hasira (hasira hasara), n.k ndo utavamiwa na mapepo, majini pamoja na wachawi. Lakini ukiwa mtu wa dini hakuna chochote kitakachokuathiri
Mbona Huku uraiani mambo ni tofauti Sana
 
Ni elimu Pana Sana kwanza Unatakiwa Uanze Basic kabisa za Elimu ya Spirituality..
NA Vitabu viko vingi sana Kuna Kipindi Nilikuwa anavishare Humu ni kama Miezi sita au Nane imepita kama sio Mwaka..
Ila Mazingira Hayakuwa mazuri ya Kushare vitabu hivyo nitakutafuta Inbox na Nitakutumia Mwenyewe Vitabu Vyote kuanzia Vya Basic Mpaka Hatua za juu..
Dokta Nitajufuata pm mkuu
 
Ni elimu Pana Sana kwanza Unatakiwa Uanze Basic kabisa za Elimu ya Spirituality..
NA Vitabu viko vingi sana Kuna Kipindi Nilikuwa anavishare Humu ni kama Miezi sita au Nane imepita kama sio Mwaka..
Ila Mazingira Hayakuwa mazuri ya Kushare vitabu hivyo nitakutafuta Inbox na Nitakutumia Mwenyewe Vitabu Vyote kuanzia Vya Basic Mpaka Hatua za juu..
Na Mimi nisaidie ivyo vitabu mkuu mana elim n bahari🙏🏽
 
Hapa umeongea kisayansi kidogo,kiroho ili uweze kurogeka kinachotokea unaingizwa kwenye dhambi na shetani ukishakuwa kwenye hiyo state Roho wa Mungu anakuacha,kwahiyo unakuwa huna protection,hapo ndipo unaweza kuingiwa na maroho na hata kurogwa,maana hata hiyo hofu ni roho ya shetani.Neno la Mungu linasema "Maana Mungu hakutupa roho ya woga, bali ya nguvu na ya upendo na ya moyo wa kiasi" 2Timotheo 1:7....
Mzee mbona tunaona mpaka watoto wadogo wa miezi 6 wanarogwa na wengine wanarogwa tangu wakiwa mimba , je Hao huwa wanakuwa wamefanya makosa gani ?? Yanayo toa nafasi ya wao kurogwa !?
 
Yesu Kristo ndio Master of masters ndio maana anaitwa Lord of Lords Mfalme wa wafalme yeye ndie Binadamu na kiumbe pekee aliyefika rank za mwisho za Consciousness na kiumbe yeyote anayefikia hapo Uungu unamvaa 💯%
Na anakua kwenye Eternity yaani Alfa na Omega au non of existence beyond limitations,
Hii siri ukiijua na ukaelewa hutaastajabu kwanini Yashua Amashiach alisema
Mimi na Baba ni wamoja (Baba ni kiwakilishi cha Supreme power)

Pia kuna nukuu anasema yeye ndie njia ya kweli na uzima (means mtu yeyote atakaye fuata njia yake yaani kua Consciousness 💯% ataingia kwenye Eternity na kwenye Eternity hakuna wingi kila kitu kinakua the one)

Pia kuna andiko anasema "mimi ndie njia ya kweli na uzima"
(Means mtu ukimfuata yeye ile njia ya kua Consciousness itakufanya kufika level zake na kua mmoja pamoja naye yaani eternity)

Sasa watu wengi hatujui siri za Uungu that's why code hizi zinatupiga chenga na kutufanya kua week endapo mtu akipata hata nusu ya Haya maarifa atafanya miujiza mikubwa sana!
Mkuu nahitaji hayo maarifa nifanyaje!!?
 
Back
Top Bottom