- Thread starter
- #41
uliza mkuuMtoa Uzi Code zimekua Nyingi,, Nyama kidogo kama Lengo lako ni watu Wajifunze Funguka Mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uliza mkuuMtoa Uzi Code zimekua Nyingi,, Nyama kidogo kama Lengo lako ni watu Wajifunze Funguka Mkuu.
uliza mkuu
Safi sana Huu ndio Ukweli..Knowledge is power..kumbe MAJINI, WACHAWI, NA BLACK MAGIC ZOTE, zinafanyika at low vibrational frequency ndio maana ili mtu alogeke lazima washushe frequency yake awe kwenye range zao.
Kwa mfano mtu akiwa ana hofu au hasira ni rahis kumloga coz ana resonate at 7Hz very low frequency.
PEPO MCHAFU anamuingia mtu akiwa at low frequency. Siri iliyopo hapa ni kucheza frequency game isishuke, msibani watu wanalogwa sana coz wana huzuni na frequency zao zinakuwa down, bila shaka umewahi kusikia msiba mmoja umesababisha msiba mwingine then wanasingizia presha..
ni kweli hata kazi ya kutoa mapepo harusiwi kila mtu manake unaweza kutoa mawili yanarudi zaidi ya 20..Kuna ukweli ndani ya hili ukiwa muoga ni rahisi sana kuingilika.Mfano kwenye kutoa mapepo mnaweza kuwa saba ila ikiwa mmoja ni muoga pepo litamtoka linayemsumbua na kumuingia aliyemuoga au mwenye shida rohoni.Marekani kuna kesi moja ilitokea mtu alikuwa possessed katika maombi yule mtu mmoja akawa anasema kama lina nguvu liniingie basi mimi.Baada ya maombi aliyekuwa anasumbuliwa alikaa sawa wakajua kesi imeisha.Shida ikaanza kwa aliyetamka yale maneno,alianza kubadilika kadri ya siku kuwa na hasira nk na mwisho wa siku alikuja kuua.Alikuja kuepuka kifungo baada ya wana maombi kutoa ushahidi mahakamani.Kwa wale wanaosoma kesi Za Edward na Lorein Warren.Hivyo hofu,kutokuwa msafi rohoni,kumchallenge hizi pia ni factors za kujaribiwa
Jazia jazia nyama drSafi sana Huu ndio Ukweli..
Umekazania kusema ya juuya juu,, kama huwez kutoa elimu basi acha kukoment , tujue unajua kwamba unajitapa ama vip, watu mnaojifanya mnajua mambo haya mnakuaga na maringo sana mtafikiri nyie ndio mnaijua dunia nje ndani..Its a mockery to give a mirror to the blind.Hii elimu ni ya juu sana ndugu ili uelewe lazima uwekeze muda wa kutosha kutafta hii elimu.
Nakumbuka kuna movie nilishaiona miaka ya nyuma inakisa hicho;Kuna ukweli ndani ya hili ukiwa muoga ni rahisi sana kuingilika.Mfano kwenye kutoa mapepo mnaweza kuwa saba ila ikiwa mmoja ni muoga pepo litamtoka linayemsumbua na kumuingia aliyemuoga au mwenye shida rohoni.Marekani kuna kesi moja ilitokea mtu alikuwa possessed katika maombi yule mtu mmoja akawa anasema kama lina nguvu liniingie basi mimi.Baada ya maombi aliyekuwa anasumbuliwa alikaa sawa wakajua kesi imeisha.Shida ikaanza kwa aliyetamka yale maneno,alianza kubadilika kadri ya siku kuwa na hasira nk na mwisho wa siku alikuja kuua.Alikuja kuepuka kifungo baada ya wana maombi kutoa ushahidi mahakamani.Kwa wale wanaosoma kesi Za Edward na Lorein Warren.Hivyo hofu,kutokuwa msafi rohoni,kumchallenge hizi pia ni factors za kujaribiwa
Watu wa aina yako hua nawazarau sana [emoji706]Huu ni ukweli usiopingika ila haya ni maarifa yanayohitaji akili sana sio za ushabiki wa simba na yanga
Hayo mambo ya low frequency,high frequency,positive na negative energies ni elimu ya juu sana,usitegemee uzi wako kupata wachangiaji.
Sasa zarau yako mimi inaniongezea au kunipunguzia nini?Watu wa aina yako hua nawazarau sana [emoji706]
frequency yako ili ikae juu jaribu kufeel emotion zenye vibrations za juu muda wote.....ona hii picUnaposema low and high frequency Kuna watu humu hawaelewi,, by the way Ili Uweze kuwa high frequency ni ufanyaje fanyaje endapo ata mtu akitaka Kuku dhuru ishindikane kama ulivo tangulia kusema
ukihisi AIBU ni hatari sana katika ulimwengu wa ROHOfrequency yako ili ikae juu jaribu kufeel emotion zenye vibrations za juu muda wote.....ona hii pic
Mimi Humu Nimeshayaongea Sana haya Mambo Nikiona Wanayaongea wengine Hivi nafurahi sanaJazia jazia nyama dr
Hii nimeshaizungumzia Sana Mpaka humu Huwa wananiita conspiracist..DR Mambo Jambo toa ufafanuzi kidogo coz wewe una elimu zote za dunia yaani za kimwili na kiroho.
Mkuu nakumbuka nilisoma kitabu cha SATAN AN AUTOBIOGRAPHY kuna mahali yalisemwa haya aliyoyasema OP..... Sisi tupo kwenye 10th dimension hao viumbe wapo chini yetu kwenye 11th dimension.., na kilisema kuwa kupitia matendo yetu maovu tunakuwa tunahamisha energy kuelekea 11th dimension hence feeding the demons,.Hayo mambo ya low frequency,high frequency,positive na negative energies ni elimu ya juu sana,usitegemee uzi wako kupata wachangiaji.