Naona unazidi kupandisha Level!Nawew ukiwa mmoja wao ama unajitoa?
Usitoe povu, ujinga sio tusi bali ni kutojua au kufahamu jambo..kwa maana nyingine ni upeo mdogo wa uelewa wa Mambo. Mfano wewe katika uzi wako umeonesha level ya hali ya juu sana ya Ujinga sababu ya kutoelewa kuwa Kampuni humilikiwa na wenye Hisa..na kwa Mtu uliemzungumzia kwa idadi ya hisa anazomiliki ni mmiliki kabisa tena mkubwa! Nadhani kwa maelezo haya Ujinga katika mambo ya Hisa na umiliki wa Kampuni utakuwa umekutoka kidogo.Nawew ukiwa mmoja wao ama unajitoa?
Jina lakr Francis Majizo CizaHv majizo kumbe siyo jina rasmi. Anaitwa nani jina lake rasmi?
Nashukuru kuja kuonyesha ujinga wako na wewe pia kwa kutokujua nilichokua namaanisha lengo uonekane mjuaji mbumbumbuUsitoe povu, ujinga sio tusi bali ni kutojua au kufahamu jambo..kwa maana nyingine ni upeo mdogo wa uelewa wa Mambo. Mfano wewe katika uzi wako umeonesha level ya hali ya juu sana ya Ujinga sababu ya kutoelewa kuwa Kampuni humilikiwa na wenye Hisa..na kwa Mtu uliemzungumzia kwa idadi ya hisa anazomiliki ni mmiliki kabisa tena mkubwa! Nadhani kwa maelezo haya Ujinga katika mambo ya Hisa na umiliki wa Kampuni utakuwa umekutoka kidogo.
Yaani kama ingekuwa ulingoni kwenye Boxing we ushatolewa KO muda mrefu sanaa...yaani unajaribu kunyanyuka ila unadondoka tena. Uzi wako ulioanzisha umekusaidia unione jinsi gani ulivyo na ujinga katika kuyafahamu mambo. Kuwa mpole tuu hii nyuzi umechemsha Big Time.Nashukuru kuja kuonyesha ujinga wako na wewe pia kwa kutokujua nilichokua namaanisha lengo uonekane mjuaji mbumbumbu
Unahisi wote wacheza boxing? Inaonyesha kichwa chako kina mtikisiko wa ngumi ndio maana unawaza kutumia upande wa piliYaani kama ingekuwa ulingoni kwenye Boxing we ushatolewa KO muda mrefu sanaa...yaani unajaribu kunyanyuka ila unadondoka tena. Uzi wako ulioanzisha umekusaidia unione jinsi gani ulivyo na ujinga katika kuyafahamu mambo. Kuwa mpole tuu hii nyuzi umechemsha Big Time.
Nazidi shuhudia Ujinga wako hata katika kutoelewa mifano...yaani ni Ujinga wa Level ya ajabu...Unahisi wote wacheza boxing? Inaonyesha kichwa chako kina mtikisiko wa ngumi ndio maana unawaza kutumia upande wa pili
Msimshangae, sidhani hata kama analijua jina halisi la Majizo...Ndio nami nimemshangaa ,kitu kipo wazi kbs hapo
Mkuu hebu jaribu kuchimba jina halisi la majizo, tulioanza nae mtwara tunamjua kwa kina la RashidEntertainment Masters(wenye E-FM,TV E,maisha club n.k) ni kampuni ya familia ya hao kina Ciza.Hakuna cha kushangaa hapo.
Baada ya kuiunguza masaki wakagawana mbao lkn akina majizo wakiendelea na jona la maisha maza akataka mgao kwa sababu ya jina, ndo wakaamua kukosa wote na kuiita LIFE PARKView attachment 805152 View attachment 805149
Umechanganya chief maisha club ilikuwa ya mama mmoja anaitwa helen sweya ambaye alikuwa marketing manager wa tbl enzi hizo majizo wanadai alikuwa mtu wake wa pembeni tu ila nahis majizo alitumia mwanya ule kutoka nayeye kivyake ila kwa kuendelea kutumia jina la emaster
Na mama sweya alikuwa na kijana wake wakiume yule alikuwa anatembea na discover 4 ambaye alikuwa rafiki sana wa majizo nayeye hapo kwenye share holder hayupo
Hapana, ili ilikuwa ni trick ya kibiashara tu chief jamaa ili wapige pesa ndo maana baada ya marekebisho ikaitwa new maisha club kabla ya kuhamia LAPF na kuitwa maisha basement na sasa life club ila za mikoani zote bado zinaitwa new maisha clubBaada ya kuiunguza masaki wakagawana mbao lkn akina majizo wakiendelea na jona la maisha maza akataka mgao kwa sababu ya jina, ndo wakaamua kukosa wote na kuiita LIFE PARK