Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,817
- 10,667
Wachezaji wa kibongo hawako makini kwenye utiaji saini mikataba. Hakuna asiyependa vya rahisi. Hata mimi nataka vya rahisiKweli ukistaajabu ya Mussa utaona ya Firauni nimeshangazwa na Mchezaji aliyekosa namba kikosi cha kwanza cha Yanga Herriet Makambo kulipwa 10M huku mchezaji mwandamizi na tegemeo Feisali Toto akilipwa hela ndogo mara tatu yake hakika Tanzania bado tuna viongozi wengi wa mpira madalali tuwape hadhi wachezaji wetu.
Unajua unajua brah brah. Si uweke wewe unayejua? Fei anapokea 4m, Makambo 10m ulitaka aseme Fei anamzidi Makambo?Unajua kiasi cha kodi wanachokatwa wachezaji wa kigeni??
Unajua gharama ya vibali vya kuishi na kufanya kazi Tanzania kwa wachezaji wa kigeni?
Tafuta maarifa kwanza kabla ya kuja kuongea usivyovijua vyema.
Kwahiyo unataka kusemaje ndugu nenda kwenye pointi yako ya msingiUnajua kiasi cha kodi wanachokatwa wachezaji wa kigeni??
Unajua gharama ya vibali vya kuishi na kufanya kazi Tanzania kwa wachezaji wa kigeni?
Tafuta maarifa kwanza kabla ya kuja kuongea usivyovijua vyema.
Kumbe blah blah zako zote zililalia kwenye ushabiki? Hapa tunajadili maslahi ya local players ukilinganisha na wageni na ufanisi wao. Hata Simba wapo kina Mzamiru. Acha ushabiki mandaziKubali kwanza wewe ni mbumbumbu na kolowizard mfuata mkumbo ili wajuvi tukupe elimu.
Hata hiyo milioni 4 ya Feitoto inakatwa kodi..Unajua kiasi cha kodi wanachokatwa wachezaji wa kigeni??
Unajua gharama ya vibali vya kuishi na kufanya kazi Tanzania kwa wachezaji wa kigeni?
Tafuta maarifa kwanza kabla ya kuja kuongea usivyovijua vyema.
Kama ni Kweli Basi nimeamini Uchawi Upo.!Kweli ukistaajabu ya Mussa utaona ya Firauni nimeshangazwa na Mchezaji aliyekosa namba kikosi cha kwanza cha Yanga Herriet Makambo kulipwa 10M huku mchezaji mwandamizi na tegemeo Feisali Toto akilipwa hela ndogo mara tatu yake hakika Tanzania bado tuna viongozi wengi wa mpira madalali tuwape hadhi wachezaji wetu.
Acha upopoma, kiasi cha kodi wanachokatwa wachezaji wa kigeni ni karibia mara tatu ya wanachokatwa wachezaji wazawa.Hata hiyo milioni 4 ya Feitoto inakatwa kodi..
Tokaaaaaaaa mada inakuzidi kimoKafie mbali ngada fc
Muongezee mshahara abakiAcha upopoma, kiasi cha kodi wanachokatwa wachezaji wa kigeni ni karibia mara tatu ya wanachokatwa wachezaji wazawa.
Vipi kuhusu gharama ya vibali vya kuishi na kufanya kazi Tanzania? Feitoto analipa sh. ngapi?
Kama ni slow learner mlaumu mwalimu wako wa primary.Kwahiyo unataka kusemaje ndugu nenda kwenye pointi yako ya msingi
Acha kukimbia swali? Mbona unaanza personal attack, jikite kwenye hoja.Kama ni slow learner mlaumu mwalimu wako wa primary.
Mtu anayejiita Syphilis unadhani atakuwa na akili basi?....ubongo umejaa kaswende tupuAcha kukimbia swali? Mbona unaanza personal attack, jikite kwenye hoja.
Kwa uzoefu wangu humu ukiona mtu anakimbia mada na anaanza personal attack basi hajui chochote.Mtu anayejiita Syphilis unadhani atakuwa na akili basi?....ubongo umejaa kaswende tupu