Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Work permit haizidi $ 200 na inalipwa mara moja tu,bado haijustfy gap iliyopo kati ya 4M na 10M per month.Sasa kwa extra costs zote hizo kwa mchezaji wa kigeni huoni logic ya mshahara wake kuwa mkubwa kuliko wa mzawa with no consideration of their quality?