Kumbe Makambo anamzidi Feisal Toto mshahara

Kumbe Makambo anamzidi Feisal Toto mshahara

Unajua kiasi cha kodi wanachokatwa wachezaji wa kigeni??

Unajua gharama ya vibali vya kuishi na kufanya kazi Tanzania kwa wachezaji wa kigeni?

Tafuta maarifa kwanza kabla ya kuja kuongea usivyovijua vyema.

Huna hata haja ya kumwelewesha
 
Hakuna gharama ya vibali vya kuishi sio tu Tanzania bali ni nchi yoyote acha mbambamba
Working permit inalipiwa sijajua kwa upande wa wachezaji inakuwa kiasi gani, plus Visa pia lazima akate kama ni mwaka, miaka mitatu au zaidi yote unalipia uhamiaji,.. . sijajua kwa wachezaji ikoje lakini hii nina experience nayo kuna boss wangu nilikuwa namsaidia kwenye haya mambo kitambo kidogo
 
Unajua kiasi cha kodi wanachokatwa wachezaji wa kigeni??

Unajua gharama ya vibali vya kuishi na kufanya kazi Tanzania kwa wachezaji wa kigeni?

Tafuta maarifa kwanza kabla ya kuja kuongea usivyovijua vyema.
Twende taratibu:

1. Kibali cha kazi Bongo analipia mchezaji au timu?

2. Suala la kodi unaonesha huna uelewa nalo kabisa. Kodi hutozwa kwa kanuni za ukaazi (mtu mwenye kandarasi ya zaidi ya miezi sita huyu kwa sheria zetu ni mkaazi) Hao jamaa uliowataja na Feisal wanalipa kiwango sawa cha kodi kwa sababu wote wanaqualify kuwa residents kwa mujibu wa sheria ya kodi.

Hata hivyo hata kama tukiassume hawana residence status kodi wanayolipa ni ndogo sana asilimia 15% ambayo inawezekana Faisal analipa zaidi yao.

Leta hoja nyingine
 
Kubali kwanza wewe ni mbumbumbu na kolowizard mfuata mkumbo ili wajuvi tukupe elimu.
Mimi yanga mwenzio ila sitetei Upumbavu. Ni aibu kumlipa Feisal mil 4 na Makambo mil 10. Hii haina utetezi usiwe unabweka bweka kama mbwa koko. Nimekasirika sana tunavyowatendea hawa wachezaji wa ndani.
 
Working permit inalipiwa sijajua kwa upande wa wachezaji inakuwa kiasi gani, plus Visa pia lazima akate kama ni mwaka, miaka mitatu au zaidi yote u alipia uhamiaji sijajua kwa wacheza ikoje lakini hii nina experience nayo kuna boss wangu nilikuwa namsaidia kwenye haya mambo kitambo kidogo
Ahsante mr. Kaswende kwa kumpa elimu popoma mwenzio....sasa kwa gharama zote hizo unafikiri zinalipwaje na mchezaji husika kama siyo klabu husika kuzi-cover up kwenye mshahara wa mchezaji?
 
Ahsante mr. Kaswende kwa kumpa elimu popoma mwenzio....sasa kwa gharama zote hizo unafikiri zinalipwaje na mchezaji husika kama siyo klabu husika kuzi-cover up kwenye mshahara wa mchezaji?
Inategemea na kampuni, sehemu nyingine analipia mwajiriwa au mwajiri inategemea na makubaliano yao.... Lakini hiyo haifanyi mchezaji kama fei kulipwa mshahara kiasi kidogo vile., Hapana.
 
Sasa kwa extra costs zote hizo kwa mchezaji wa kigeni huoni logic ya mshahara wake kuwa mkubwa kuliko wa mzawa with no consideration of their quality?
Hapa napingana na wewe, mchezahi atalipwa kutokana na ubora wake sio mambo ya permit wa visa.
 
Unajua kiasi cha kodi wanachokatwa wachezaji wa kigeni??

Unajua gharama ya vibali vya kuishi na kufanya kazi Tanzania kwa wachezaji wa kigeni?

Tafuta maarifa kwanza kabla ya kuja kuongea usivyovijua vyema.

Kwa maelezo hayo basi makambo ndio angelipwa 4m coz club inaingia gharama kubwa Sana kwenye ishu za malipo ya vibali vyake
 
Unajua kiasi cha kodi wanachokatwa wachezaji wa kigeni??

Unajua gharama ya vibali vya kuishi na kufanya kazi Tanzania kwa wachezaji wa kigeni?

Tafuta maarifa kwanza kabla ya kuja kuongea usivyovijua vyema.
Huu ni upumbavu ndio maana mkaitwa TOPOLO
 
Acha upopoma, kiasi cha kodi wanachokatwa wachezaji wa kigeni ni karibia mara tatu ya wanachokatwa wachezaji wazawa.

Vipi kuhusu gharama ya vibali vya kuishi na kufanya kazi Tanzania? Feitoto analipa sh. ngapi?
Vibali vya kuishi vinatafutwa na kulipwa na muajiri sio muajiriwa, kodi nyinginezo za mapato mpokeaji huzilipa.

Vv
 
Acha upopoma, kiasi cha kodi wanachokatwa wachezaji wa kigeni ni karibia mara tatu ya wanachokatwa wachezaji wazawa.

Vipi kuhusu gharama ya vibali vya kuishi na kufanya kazi Tanzania? Feitoto analipa sh. ngapi?
Ndugu yangu hujui chochote, umeandika tu hapa JF. Ngoja nikupe shule.

1. Kodi ya mshahara (PAYE) iko sawa kwa wachezaji wote pasipo kuzingatia wewe ni mgeni au mwenyeji. Hivyo percent ya makato ya kodi kati ya Feitoto na Makambo ipo sawa sawa.

2. Wachezaji wote wa kigeni huwa vibali vyao vya kufanya kazi hapa Tanzania huwa vinafanyiwa kazi na klabu zao kabla hata ya kutua nchini (ndio sheria inavyotaka), na mara nyingi kwa gharama za klabu husika ili kupunguza usumbufu kwa mchezaji au mchezaji kutumia mwanya wa kushindwa kuwepo mazoezini, kwenye mechi, kurejea rejea kwao ghafla kisa ameshindwa kulipia vibali chake nk. Hili jambo huwa ndani ya mkataba na sio kwenye mshahara wa mchezaji.

3. Kibali cha kuishi na kufanya kazi ndani ya Tanzania hulipiwa mara moja kwa mwaka mpaka miaka mitatu, na huwa hakizingatii kabisa pesa utakayolipwa kama mshahara kutoka kwenye kazi yako. Vibali vingi huwa kati ya shilingi milioni mbili mpaka tano kwa mwaka hadi miaka mitatu.

Hoja ya kusema mchezaji mgeni ana haki ya kulipwa mshahara mkubwa kuliko mwenyeji kwa sababu ya makato haina uzito wala mashiko kwa 100%
 
Twende taratibu:

1. Kibali cha kazi Bongo analipia mchezaji au timu?

2. Suala la kodi unaonesha huna uelewa nalo kabisa. Kodi hutozwa kwa kanuni za ukaazi (mtu mwenye kandarasi ya zaidi ya miezi sita huyu kwa sheria zetu ni mkaazi) Hao jamaa uliowataja na Feisal wanalipa kiwango sawa cha kodi kwa sababu wote wanaqualify kuwa residents kwa mujibu wa sheria ya kodi.

Hata hivyo hata kama tukiassume hawana residence status kodi wanayolipa ni ndogo sana asilimia 15% ambayo inawezekana Faisal analipa zaidi yao.

Leta hoja nyingine
Kuna watu wanapenda kujitia ujuaji kwa Mambo wasiyoyajua.
 
Back
Top Bottom