Kumbe Makambo anamzidi Feisal Toto mshahara

Mimi yanga mwenzio ila sitetei Upumbavu. Ni aibu kumlipa Feisal mil 4 na Makambo mil 10. Hii haina utetezi usiwe unabweka bweka kama mbwa koko. Nimekasirika sana tunavyowatendea hawa wachezaji wa ndani.
Hivi mshahara wa Vinicius Jr ni sahihi pale RM ukilinganish na kina Asencio ??
 
Yanga walimrejesha Makambo kwa matumaini aliyoyafanya kabla hajauzwa,ambapo alikuwa Bora kuliko fiesal.kumshawishi mshahara ukawa hivyo.mkataba wa Feisal aliingia 2018,irudishe Yanga ya 2018 mapato yake kuna wakati walitembeza bakuli kusaidia,kwa kumpa fei 4m walimthamini, kupenda na kumwamini.sasa Yanga wana mapato ya kumlipa kulingana na kazi ilikuwa swala la yeye kupush uongozi marejeo ya mkataba ambayo viongozi wamekiri kuanza mazungumzo..ila isingeweza kumlipa Kama tunavyosikia uko Azam.uko wamemlipa kiZanzibar zaidi yaani wakwetu.
Ni Kama wahindi wanavyowalipa wahindi wenzao.hilo haliwezekani aende zake ahitajiki yanga.kama mkataba haja breach viongozi mwacheni.kama amekiuka mkataba AZAM walipe fedha wabaki nae.
 
Ahsante mr. Kaswende kwa kumpa elimu popoma mwenzio....sasa kwa gharama zote hizo unafikiri zinalipwaje na mchezaji husika kama siyo klabu husika kuzi-cover up kwenye mshahara wa mchezaji?
Mkuu hata huko uingereza ambapo hata jina la ligi yetu tumekopi kwao wachezaji wazawa wanalipa kodi ndogo kuliko wageni lakini haimaanishi hakuna mgeni asiyezidiwa mshahara na mzawa, mfano yule mkorea wa spurs anazidiwa mshahara na Kane, pili kana unahisi kulipa mishahara mikubwa kunasababishwa na kodi kubwa mbona biashara utd Ina wachezaji waburundi kwahiyo nawale wanalipa 10m+?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…