Sijui kama Clouds wanafanya research kweli kabla ya kupeleka wasanii sehemu, yaani huku hawaeleweki kabisa, au wanaassume msanii akikubalika Dar na kwingine atakubalika? Yaani Man Fongo na Shollo Mwamba ndo wasanii waliopewa shangwe ndogo zaidi kwa wasanii waliotoka Dar, wamefunikwa hata na Bonge La Nyau haha...!!!Singeli na Mhaya wa Kanyigo..Katerelo..Muleba..wapi na wapi![emoji126] [emoji12]
npe namba yako nkutumieHuo wimbo wa sijui hainaga ushemeji sijawahi hata kuusikia.
Ila habari yake unayoHuo wimbo wa sijui hainaga ushemeji sijawahi hata kuusikia.
Kweli hainaga ushemeji..........wanakulagaHuo wimbo wa sijui hainaga ushemeji sijawahi hata kuusikia.