Hivi kama yeye anaishi Muleba ndani ya nyumba ina kiyoyozi na anatengeneza mkwanja wa nguvu nawe waishi Dar ila kambi ya fisi manzese na hata kesho huna hakika nayo, nani mjanja kati yenu?Ujaanja wote unaishi muleba?
Wimbo wa Dar. Labda huko Dar ndiko kwenye "high incidence ya 'kulana' na mashemeji", ndiyo maana huko Tanganyika hawaelei chochote, wanaona ni obscenity.kama hawajaelewa kipindi hiki cha wimbo wa Taifa 'hainaga ushemeji' sidhani kama wataelewa tena
Karibu nyumbani nikusikilizishe shemeji yanguHuo wimbo wa sijui hainaga ushemeji sijawahi hata kuusikia.
nyie huko kwenu mmemkariri Saida Koroli kaeni hapo mumsubiri.Leo nimehudhuria Fiesta ya Muleba nimeshangaa sana, yule mzee wa amsha popo a.k.a mfalme wa singeli anaperform raia wamekula bati hadi nikamuhurumia. Nikajua labda ikifika zamu ya hit yake 'Hainaga Ushemeji' upepo utabadilika, lakini wapi 'Nshomile' hawaelewi kitu.
Nikashangaa huyu ndio anasema BongoFleva wakatafute kazi nyingine ya kufanya? Kwenye show hiyo wasanii wa Bongofleva/Hiphop wakina Joh Makini, Stamina, Mr Blue, Chege, Jux, Baraka, ndio wameng'aa sana. ManFongo na mwenzake Shollo Mwamba wameflop totally
View attachment 389675
Kwani we huwa hunaga shemeji? ngoja akukulage ndo utajua?Huo wimbo wa sijui hainaga ushemeji sijawahi hata kuusikia.
[emoji2] [emoji2] Wizkid na watu kama chris Brown ndo wale ndio tunawaelewa zaidiSingeli na Mhaya wa Kanyigo..Katerelo..Muleba..wapi na wapi![emoji126] [emoji12]
Hahaha.... Siliwagi kizembe zembe.Kwani we huwa hunaga shemeji? ngoja akukulage ndo utajua?
Habari yake naiona jfIla habari yake unayo
We jamaa umenichekesha.Mziki wake wa makelele ni wa kupita tu