Kumbe Man Fongo si lolote nje ya Dar

Kumbe Man Fongo si lolote nje ya Dar

Hivi kama yeye anaishi Muleba ndani ya nyumba ina kiyoyozi na anatengeneza mkwanja wa nguvu nawe waishi Dar ila kambi ya fisi manzese na hata kesho huna hakika nayo, nani mjanja kati yenu?
Sio lazima unijibu, ila tatizo la fikra za aina hiyo wanalo wengi na ndio liletalo unasikini miongoni mwa watu
Nshomile umepanic
 
Hiyo Efm inaskika mikoa mingapi? clouds wameipaisha singeli acha ubishi. watu wengi wa mikoani wanawajua hao wasanii wa singeli kupitia clouds kwakua ndo redio inayosikilizwa mda mwingi.
Muongo mkubwa wew kabla ya fiesta singeli ilishafika mikoani na hasa bodaboda wanazisikiliza sana mi nilienda tour rombo kule mpakan tarakea sikuamin kukuta bodaboda wanasikiliza singeli tena si huko tu na njiani tulisimama sana kwenye vijiji vilivyochangamka mziki pendwa kwa bodaboda ni huo
 
Muongo mkubwa wew kabla ya fiesta singeli ilishafika mikoani na hasa bodaboda wanazisikiliza sana mi nilienda tour rombo kule mpakan tarakea sikuamin kukuta bodaboda wanasikiliza singeli tena si huko tu na njiani tulisimama sana kwenye vijiji vilivyochangamka mziki pendwa kwa bodaboda ni huo
Ndio ilifika. Ni nani alieifikisha mikoani?
 
Huo mziki wa singeli haujawa popular uko bara ,unatamba hapa DSM na pwani pia ni wa kiswazi zaidi.
 
Back
Top Bottom