Kumbe Manji ni dalali tu

Kumbe Manji ni dalali tu

khaliciouz

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2013
Posts
579
Reaction score
210
Biashara ya udalali! Hata Manji ndio anachofanya. Ananunua huku na kuuza kule tena bila hata mtaji. Anaweka bla bla, anashinda tenda,anaenda benki wanadhamini show. Kiwanda kinaleta mali, then analipwa pamoja na faida yake. Anarudisha hela ya watu ya benki, then anaendelea kutumbua faida yake. Manji hana viwanda, lakini ndiye mmoja wa supplier mkubwa wa bidhaa mbali mbali hapa nchini...
 
Biashara ya udalali! Hata Manji ndio anachofanya. Ananunua huku na kuuza kule tena bila hata mtaji. Anaweka bla bla, anashinda tenda,anaenda benki wanadhamini show. Kiwanda kinaleta mali, then analipwa pamoja na faida yake. Anarudisha hela ya watu ya benki, then anaendelea kutumbua faida yake. Manji hana viwanda, lakini ndiye mmoja wa supplier mkubwa wa bidhaa mbali mbali hapa nchini...

weka picha!
 
picha ya nani.... jamaa ni mastermind kwa akili anayotumia ni balaa... udalali wa high level
 
Na ile quality group inayotengeneza ma body ya magari ni ya nani?
 
Jifunze kutoka kwake. Kuwa dalali sio dhambi.
 
Jifunze kutoka kwake. Kuwa dalali sio dhambi.

Jamani kuweni makini, hili neno "dalali" limeitetemesha nchi kupitia wizara ya madini
Msije kusema sikuwaonya.
 
Back
Top Bottom