Yule mwanaume anayefanya naye kipindi yuko smart kweli sijui huwa amwambii mwenzake
Vioo vya jamiii
Kwani mademu wa humu wanatoka sayari gani?
watu mnaponda wenzenu wakati nyie wenyewe mkijiona kwenye kioo mnajiogopa
Anafanana na Shabaranks
Kaka mshana..hao mabinti wako watatu marafiki akili zao zinafanana cjui ndio kuishi ulaya..mmoja kazaa na mwanahiphop..naona huyu naye anafuata nyayo...majirani zangu
Basi Kipaji Halisi nshapata jibu
Lakini jamani uzuri wa mwanamke ni kwenye 18
Anafanana na young thug wa rich gang.
Anafanana na Shabaranks
Hahaaaaahhh siyo jonas savimbi????
Anafanana na Shabaranks