Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamaniiii tusijerogwa kutumia madawa kumbe matibabu ni hayo kila siku ni kuchomwa Tu sindanoo au ni kumeza dawa??
jamaniiii tusijerogwa kutumia madawa kumbe matibabu ni hayo kila siku ni kuchomwa Tu sindanoo au ni kumeza dawa??
Afu anasema eti " hamnipi dawa mnataka nikale unga tena" teh utadhani akivuta anawaathiri madaktari
jamaniiii tusijerogwa kutumia madawa kumbe matibabu ni hayo kila siku ni kuchomwa Tu sindanoo au ni kumeza dawa??
Hata sijui dose ni muda gani
nifah kasema ni miaka mi4
Ray c hajawah acha tumia madawa ya kulevya, aliudanganya ulimwengu, na analia kama teja.
Ray c hajawah acha tumia madawa ya kulevya, aliudanganya ulimwengu, na analia kama teja.
Hatare yani...looh naona cha moto wanakipata..
Ila akili zake sijui kama zipo vizuri kama zamanihhhaaahhhaaaa...anajitoa fahamu!
Jamani mbona anaonekana yupo devoted?
yaan mi madawa nayaona kwenye tv Tu ,sitak hata kuyaona live
Ila akili zake sijui kama zipo vizuri kama zamani
Ni vigumu sana kuacha ile makitu kama hujaamua ingia ktk serious commitments. Mara kibao amekua akijinadi ktk mitandao kua hana muda na mahusiano.
At lonely hrs wafikiri what was the companion,. ? Kujidunga tu.
yaan mi madawa nayaona kwenye tv Tu ,sitak hata kuyaona live
Teh make mambo anayoyafanya mweh sio yule kiuno bila mfupa nnaemjua, nlikuaga namkubali hadi radio cassete ya mapenzi yangu nlikua nayochizi haponi...
Bangi haina shida madamenshayaona sana tu mama angu mzazi maana kitaani kwetu kino jirani yetu muuzaji
mi mpk bangi nilinusurika kuvuta kidoogo tu!
mana siku tuliyopanga tukavute mda wa kwenda kufundishwa dingi akaniita
wenzangu wakasubiri wakaona nachelewa wakaenda peke yao...
nikanusurika...
ukikaa m/mala,kino vtu vya kawaida sana hvyooo
ray c yule harudi tenaaa....!!Teh make mambo anayoyafanya mweh sio yule kiuno bila mfupa nnaemjua, nlikuaga namkubali hadi radio cassete ya mapenzi yangu nlikua nayo
kwa hiyo akiwa na mahusiano ndio atakua kaachaaaa
Teh make mambo anayoyafanya mweh sio yule kiuno bila mfupa nnaemjua, nlikuaga namkubali hadi radio cassete ya mapenzi yangu nlikua nayo