Kumbe mimba ya Zari si ya Diamond

Kumbe mimba ya Zari si ya Diamond

There alot to get and benefit frm serious relationship., like kubadilishana tabia,raising a family etc.


Hata hvyo huo ni mfano tu., serious commitments zipo nyingi only not to get bored/lonely.

sure she needs comfort...!!!
 
hhhaaahhhaa kweli si unaona sir nature yuko poa.
mh.tembaa fit tupu..
ila powda nomaaa
Poda inafanya mtu awe kama ana ngoma hivi ushamuona daz baba duh waweza sema r.i.p wakati mtu yupo hai, chidi vits nae madawa ni shida
 
Poda inafanya mtu awe kama ana ngoma hivi ushamuona daz baba duh waweza sema r.i.p wakati mtu yupo hai, chidi vits nae madawa ni shida

Akina TID, Q CHIEF, GK. Wote wanajidunga wale. They'll never b the same again.


yani mapoda sio kabisa kuna dogo la kihindi kitaa lilikua bright kichizi ila kaanza maunga hayo
mbona yuko sober house kigamboni..!
tid,chillah vipaji vinaondoka vile kwa miunga daah...
sad.
nshaskiag rayc bado anakula yule kuna sehemu hua anaenda kuchukua!
 
yani mapoda sio kabisa kuna dogo la kihindi kitaa lilikua bright kichizi ila kaanza maunga hayo
mbona yuko sober house kigamboni..!
tid,chillah vipaji vinaondoka vile kwa miunga daah...
sad.
nshaskiag rayc bado anakula yule kuna sehemu hua anaenda kuchukua!
Kama bado anakula duh atarudisha jezi kwa muumba sasa make kipindi kile alinusurika
 
Poda inafanya mtu awe kama ana ngoma hivi ushamuona daz baba duh waweza sema r.i.p wakati mtu yupo hai, chidi vits nae madawa ni shida

Hahaaaa chidy mzima nlipewa story siku y hukumu yke police walikua wanamsubiria wampe case ingine......unaambiwa ile kutoka 2 nje alitoka nduki mpka police wakabaki wanacheka
 
Hahaaaa chidy mzima nlipewa story siku y hukumu yke police walikua wanamsubiria wampe case ingine......unaambiwa ile kutoka 2 nje alitoka nduki mpka police wakabaki wanacheka
Ni mzima ila poda imembadilisha sana ile sijui inakondesha hadi mifupa make chidy alikuwa na bichwa kubwa sahivi kichwa kimekua kidogo kama kitenesi....big transformation from chidy benzi to chidy vits lol
 
Ni mzima ila poda imembadilisha sana ile sijui inakondesha hadi mifupa make chidy alikuwa na bichwa kubwa sahivi kichwa kimekua kidogo kama kitenesi....big transformation from chidy benzi to chidy vits lol

Yani kma namwona anavyotoka speed mana unaambiwa ilikua balaa police wakabaki wanacheka tu.......acha wavute tu wapunguze idadi ya wa2 wasiokua na kazi
 
Ni mzima ila poda imembadilisha sana ile sijui inakondesha hadi mifupa make chidy alikuwa na bichwa kubwa sahivi kichwa kimekua kidogo kama kitenesi....big transformation from chidy benzi to chidy vits lol


duuu madawa hayawez ishaa,wakubwa ndio wanayasambazaa
 
alikua anakimbia kwenda wapi?

C alilipa faini mahakama ikamwachia huru sasa police wakataka wampe case ingine ndio wa2 wakamstua......baada 2 y kutoka nje y mlango wa mahakama akatoka nduki balaaa kusudi asikamatwe tena
 
C alilipa faini mahakama ikamwachia huru sasa police wakataka wampe case ingine ndio wa2 wakamstua......baada 2 y kutoka nje y mlango wa mahakama akatoka nduki balaaa kusudi asikamatwe tena


hhhhaaaa
 
Kama ni kweli mimba Sio ya mtoto wa nyumbani ...Watanzania wote tutakuwa tumefanywa mabwege ....Hadi walioingia kutazama mimba Yale white party ...wakati wengine wanna mimba wanazikataa au wanazitoa ...unatoa milioni 3 kwenda kumuona Zari .....
Ikiwa kweli tutachekwa sana east Africa hapa ..na umaarufu wa diamond utashuka sana ....
Mimi namuona yuko kimaslani ...Sio kwa kuwa diamond Ana pesa Bali kwa kuwa ni maarufu.

Na Kama Zari anajua kweli mimba Sio ya diamond ataanza kumavoid sana kuelekea Siku za mwisho ...au akajisababishia miscarriage
 
Back
Top Bottom