Wakuu, mnakumbuka ile pisi kali nene, ina umbo zuri alilorithishwa na mama yake, slay queen wa Instagram bibi Sanchi ama Sanchoka?
Basi bibie huyu kumbe alibadili dini baada ya kuolewa na Alhaj mmoja ambaye alimbadilisha dini na kumkomesha tabia ya kuvaa nusu uchi. Bi Sanchi ambaye siku hizi anaitwa Suraiya aliolewa mke wa tatu na tajiri huyo na kubadilishiwa maisha kumbe salaale, hela hizo ni haram za heroin loh!
Tayari Sanchi ana mimba na hajulikani alipo. Inasemekana wake wenzake wamejificha wakihofia kukamatwa na mume wao kama ilivyokuwa kwa 8020 Fashion mumewe alipokutwa na ngada.
Jamani msione matajiri mitandaoni mkaumiza moyo, hela zao ndiyo hizi. Yaani watoto wa kike tulieni, mtapata waume zenu mtafute nao taratibu kutoka mwanzo. Tumia Tz 11 zako mpaka Mungu atakavyokuletea zali kama la Majaliwa. Tamaa na haya magumegume ya mjini wacheni kabisa.
Ila mama yake sanchi naye mashalaah, inaonekana alipenda saana mkwewe, lakini ndiyo hivyo kamishna kampenda zaidi.
Haya Sanchoka na shepu lake ndiyo kashapigwa chini, kavimba juu, na sasa hivi mawazuuu.
emoji112]
Basi bibie huyu kumbe alibadili dini baada ya kuolewa na Alhaj mmoja ambaye alimbadilisha dini na kumkomesha tabia ya kuvaa nusu uchi. Bi Sanchi ambaye siku hizi anaitwa Suraiya aliolewa mke wa tatu na tajiri huyo na kubadilishiwa maisha kumbe salaale, hela hizo ni haram za heroin loh!
Tayari Sanchi ana mimba na hajulikani alipo. Inasemekana wake wenzake wamejificha wakihofia kukamatwa na mume wao kama ilivyokuwa kwa 8020 Fashion mumewe alipokutwa na ngada.
Jamani msione matajiri mitandaoni mkaumiza moyo, hela zao ndiyo hizi. Yaani watoto wa kike tulieni, mtapata waume zenu mtafute nao taratibu kutoka mwanzo. Tumia Tz 11 zako mpaka Mungu atakavyokuletea zali kama la Majaliwa. Tamaa na haya magumegume ya mjini wacheni kabisa.
Ila mama yake sanchi naye mashalaah, inaonekana alipenda saana mkwewe, lakini ndiyo hivyo kamishna kampenda zaidi.
Haya Sanchoka na shepu lake ndiyo kashapigwa chini, kavimba juu, na sasa hivi mawazuuu.
emoji112]