Kumbe miongoni mwa waliokamatwa na madawa ya kulevya ni mumewe Sanchoka/Suraiya!

Kumbe miongoni mwa waliokamatwa na madawa ya kulevya ni mumewe Sanchoka/Suraiya!

Wakuu, mnakumbuka ile pisi kali nene, ina umbo zuri alilorithishwa na mama yake, slay queen wa Instagram bibi Sanchi ama Sanchoka?

Basi bibie huyu kumbe alibadili dini baada ya kuolewa na Alhaj mmoja ambaye alimbadilisha dini na kumkomesha tabia ya kuvaa nusu uchi. Bi Sanchi ambaye siku hizi anaitwa Suraiya aliolewa mke wa tatu na tajiri huyo na kubadilishiwa maisha kumbe salaale, hela hizo ni haram za heroin loh!

Tayari Sanchi ana mimba na hajulikani alipo. Inasemekana wake wenzake wamejificha wakihofia kukamatwa na mume wao kama ilivyokuwa kwa 8020 Fashion mumewe alipokutwa na ngada.

Jamani msione matajiri mitandaoni mkaumiza moyo, hela zao ndiyo hizi. Yaani watoto wa kike tulieni, mtapata waume zenu mtafute nao taratibu kutoka mwanzo. Tumia Tz 11 zako mpaka Mungu atakavyokuletea zali kama la Majaliwa. Tamaa na haya magumegume ya mjini wacheni kabisa.

Ila mama yake sanchi naye mashalaah, inaonekana alipenda saana mkwewe, lakini ndiyo hivyo kamishna kampenda zaidi.

Haya Sanchoka na shepu lake ndiyo kashapigwa chini, kavimba juu, na sasa hivi mawazuuu.

emoji112]
Wewe ni ME au ni KE?
Just asking.
 
Wakuu, mnakumbuka ile pisi kali nene, ina umbo zuri alilorithishwa na mama yake, slay queen wa Instagram bibi Sanchi ama Sanchoka?

Basi bibie huyu kumbe alibadili dini baada ya kuolewa na Alhaj mmoja ambaye alimbadilisha dini na kumkomesha tabia ya kuvaa nusu uchi. Bi Sanchi ambaye siku hizi anaitwa Suraiya aliolewa mke wa tatu na tajiri huyo na kubadilishiwa maisha kumbe salaale, hela hizo ni haram za heroin loh!

Tayari Sanchi ana mimba na hajulikani alipo. Inasemekana wake wenzake wamejificha wakihofia kukamatwa na mume wao kama ilivyokuwa kwa 8020 Fashion mumewe alipokutwa na ngada.

Jamani msione matajiri mitandaoni mkaumiza moyo, hela zao ndiyo hizi. Yaani watoto wa kike tulieni, mtapata waume zenu mtafute nao taratibu kutoka mwanzo. Tumia Tz 11 zako mpaka Mungu atakavyokuletea zali kama la Majaliwa. Tamaa na haya magumegume ya mjini wacheni kabisa.

Ila mama yake sanchi naye mashalaah, inaonekana alipenda saana mkwewe, lakini ndiyo hivyo kamishna kampenda zaidi.

Haya Sanchoka na shepu lake ndiyo kashapigwa chini, kavimba juu, na sasa hivi mawazuuu.

emoji112]
Bakiza maneno mkuu!!muda sio mrefu utawasikia wapo nje!!kama huyo boss wa cambiaso sports academy alikamatwa kipindi cha jpm,tena ndio ilikuwa ikijulikana system ilikuwa makini,kidogo lakini alitoka sembuse kipindi hiki mkuu?!!
 
Wakuu, mnakumbuka ile pisi kali nene, ina umbo zuri alilorithishwa na mama yake, slay queen wa Instagram bibi Sanchi ama Sanchoka?

Basi bibie huyu kumbe alibadili dini baada ya kuolewa na Alhaj mmoja ambaye alimbadilisha dini na kumkomesha tabia ya kuvaa nusu uchi. Bi Sanchi ambaye siku hizi anaitwa Suraiya aliolewa mke wa tatu na tajiri huyo na kubadilishiwa maisha kumbe salaale, hela hizo ni haram za heroin loh!

Tayari Sanchi ana mimba na hajulikani alipo. Inasemekana wake wenzake wamejificha wakihofia kukamatwa na mume wao kama ilivyokuwa kwa 8020 Fashion mumewe alipokutwa na ngada.

Jamani msione matajiri mitandaoni mkaumiza moyo, hela zao ndiyo hizi. Yaani watoto wa kike tulieni, mtapata waume zenu mtafute nao taratibu kutoka mwanzo. Tumia Tz 11 zako mpaka Mungu atakavyokuletea zali kama la Majaliwa. Tamaa na haya magumegume ya mjini wacheni kabisa.

Ila mama yake sanchi naye mashalaah, inaonekana alipenda saana mkwewe, lakini ndiyo hivyo kamishna kampenda zaidi.

Haya Sanchoka na shepu lake ndiyo kashapigwa chini, kavimba juu, na sasa hivi mawazuuu.

emoji112]
Wenye si upo😄
 
Hivi na yule 8020 fashion waliachiwa au bado wapo ndani?? maana nao nakumbuka harusi yao kipindi kile cha JK ilikua gumzo la mujini...Ngada inalipa I see ila mwisho wake sasa ndio majutrooo.
 
We bongo Kuna vituko Sana, Hawa maselebriti wetu[emoji23][emoji23][emoji23]. Sasa yule Nicole nae anasema anamiliki mabilion, Kwa Kaz zipi???
Duh,wana mbwembwe sana hawa
Mly tu

Ova
 
Hakuna picha ya Sanchoka, hakuna picha ya mama yake, hakuna picha ya mume Tajiri, hakuna picha ya wake zake wengine waliokimbia sasa uzi wako una faida gani sasa. Basi weka hata picha ya Unga uliokamatwa nayo hamna dah! Weka hata picha basi ya kocha wa makipa basi
Haha
 
Jamaa ndy alioufata,lzm alikuwa anmla [emoji872] [emoji3166]

Ova
Ataachaje. Namjua yule pimbi.
Ana maringo sana. Nammaindi sana. Wakati yupo Netherlands kuna dili aliiwekea kikwazo kwa kutaka kusujudiwa. Anajisikia sana yule pimbi.
Kitambo nilikua nahisi anauza ngada.
Sema nilifurahi alipodakwa japo najua ataachiwa
 
Hakuna picha ya Sanchoka, hakuna picha ya mama yake, hakuna picha ya mume Tajiri, hakuna picha ya wake zake wengine waliokimbia sasa uzi wako una faida gani sasa. Basi weka hata picha ya Unga uliokamatwa nayo hamna dah! Weka hata picha basi ya kocha wa makipa basi
au angejiweka hata yeye aki-type
 
Wakuu, mnakumbuka ile pisi kali nene, ina umbo zuri alilorithishwa na mama yake, slay queen wa Instagram bibi Sanchi ama Sanchoka?

Basi bibie huyu kumbe alibadili dini baada ya kuolewa na Alhaj mmoja ambaye alimbadilisha dini na kumkomesha tabia ya kuvaa nusu uchi. Bi Sanchi ambaye siku hizi anaitwa Suraiya aliolewa mke wa tatu na tajiri huyo na kubadilishiwa maisha kumbe salaale, hela hizo ni haram za heroin loh!

Tayari Sanchi ana mimba na hajulikani alipo. Inasemekana wake wenzake wamejificha wakihofia kukamatwa na mume wao kama ilivyokuwa kwa 8020 Fashion mumewe alipokutwa na ngada.

Jamani msione matajiri mitandaoni mkaumiza moyo, hela zao ndiyo hizi. Yaani watoto wa kike tulieni, mtapata waume zenu mtafute nao taratibu kutoka mwanzo. Tumia Tz 11 zako mpaka Mungu atakavyokuletea zali kama la Majaliwa. Tamaa na haya magumegume ya mjini wacheni kabisa.

Ila mama yake sanchi naye mashalaah, inaonekana alipenda saana mkwewe, lakini ndiyo hivyo kamishna kampenda zaidi.

Haya Sanchoka na shepu lake ndiyo kashapigwa chini, kavimba juu, na sasa hivi mawazuuu.

emoji112]
 

Attachments

  • DD8CF0F8-97A5-49DF-8C3D-FA38962B8567.jpeg
    DD8CF0F8-97A5-49DF-8C3D-FA38962B8567.jpeg
    12.7 KB · Views: 29
  • 52606A5E-EA74-4C97-959D-826187D9DF64.jpeg
    52606A5E-EA74-4C97-959D-826187D9DF64.jpeg
    9.1 KB · Views: 29
  • 5205E5E8-B7FF-4697-A821-BC747BCBB2C7.jpeg
    5205E5E8-B7FF-4697-A821-BC747BCBB2C7.jpeg
    7.4 KB · Views: 27
  • 15F6812B-5267-497A-955E-295978C31BD2.jpeg
    15F6812B-5267-497A-955E-295978C31BD2.jpeg
    7.5 KB · Views: 28
  • B26CEAF9-0A12-4493-B47F-58F755ED96D8.jpeg
    B26CEAF9-0A12-4493-B47F-58F755ED96D8.jpeg
    33.6 KB · Views: 36
  • 8CF208C0-85BF-4F83-8F64-8B5D9EA5D2BF.jpeg
    8CF208C0-85BF-4F83-8F64-8B5D9EA5D2BF.jpeg
    36.4 KB · Views: 34
Back
Top Bottom