Kumbe miongoni mwa waliokamatwa na madawa ya kulevya ni mumewe Sanchoka/Suraiya!

Kumbe miongoni mwa waliokamatwa na madawa ya kulevya ni mumewe Sanchoka/Suraiya!

Ila Mange taarifa zake sijui anapataga wapi siku nyingi Sana alishasema mume wa sanchi ni muuza unga kumbe kweli
 
Kwa kweli matukio mengine yanatia uchungu kabisa, Mara nyingi nimefikiria kwanini namimi nisijitose kwenye ishu za sembe kwa matukio kama haya, Hivi Zigo kama Sanchoka unalifungia ndani ukiingia unalirarua, ukitaka kutoka unalirirua Dah Hatari sana. Ni ngumu sana kuwezo kufanya matukio kama hayo bila ya kuwa na dili za hatari hatari. Jamaa anatia wivu kwa kwel.
 
Kwa kweli matukio mengine yanatia uchungu kabisa, Mara nyingi nimefikiria kwanini namimi nisijitose kwenye ishu za sembe kwa matukio kama haya, Hivi Zigo kama Sanchoka unalifungia ndani ukiingia unalirarua, ukitaka kutoka unalirirua Dah Hatari sana. Ni ngumu sana kuwezo kufanya matukio kama hayo bila ya kuwa na dili za hatari hatari. Jamaa anatia wivu kwa kwel.
Msambwanda wote aliuachia jamaa [emoji1]

Ova
 
Kwa kweli matukio mengine yanatia uchungu kabisa, Mara nyingi nimefikiria kwanini namimi nisijitose kwenye ishu za sembe kwa matukio kama haya, Hivi Zigo kama Sanchoka unalifungia ndani ukiingia unalirarua, ukitaka kutoka unalirirua Dah Hatari sana. Ni ngumu sana kuwezo kufanya matukio kama hayo bila ya kuwa na dili za hatari hatari. Jamaa anatia wivu kwa kwel.
Mkuu ulicomment kijuvenali sana.

Sampuli namna hiyo ya mwanamke ni show off tu ya barabarani, na huenda jamaa ndicho alichofuata kutishia watu, maana kila anapopita shingo na miluzi zinamhusu ni zake..

Kama umelifuga, hauwezi kuyafanya unayoeleza hapa "unapotoka unararua na unaporudi unararua"!

Thubutu, nani kasema, umekuwa mfalme Selemani wa kwenye agano la kale?

Labda kwa siku za mwanzo mwanzo za maisha yenu ndiyo unaweza ukafanya hivyo sikatai, lakini hauwezi kufanya hivyo siku zote kila siku milele.

Haiwezekani kumchururuzikia udenda wa namna hiyo mwanamke wako uliyemuoa na mnaishi naye permanently!

"Tabu" zote za namna hiyo unazipata kwa mwanamke asiyekuwa mke wako.
 
Dah mleta uzi umeandika kwa furaha sana,usiwe na roho hiyo bhana...
 
Back
Top Bottom